Sijapata kuona mtu wa ajbau kama kupe na kweli ni kupe. Hivi bado tuna watu wasioelimika kama huyu jamaa.Nimwambie tu kwamba mabadiliko ni lazima hata mkitumia polisi na uchafu wenu mwingine kuua watu. Lazima utakuwa na uhusiano na CCM, Wewe na unafikili kwa kutumia yale aliyosema Masaburi.Na hata usipoipenda CDM Mabadiliko ni lazima.