Andika hayo maadili ya Kitanzania kuhusu mavazi tuyajue mkuu.
WABAKWE TU... TUMECHOKA SASA
:A S-eek:
na msimu huu wakwao.
Kina nani!
Wabakaji?
Au
Wabakwaji?
Huyo atakuwa wa-kuja.
na joto la dar avae nguo gani?
Hao waliomghasi ni wajukuu wa babu zako wamanyema wa kariakoo?!
Its to see vibibi kama nyie mnashabikia GBV.
Ukware wa vijana hao wa kiume hauwezi ku justify kutaka kumvua nguo msichana aliyevaa nguo anayojisikia comfortable in it.
Yale yale tu....ukiona mkeo hana makalio makubwa...basi unaenda kuoa mwingine mwenye makalio makubwa. Ukitamani mwembamba mwenye macho ya mdondo unaenda kuvuta unaweka ndani....baadae unaanza kuwa na nyumba ndogo. Tama za kimwili zinazofundishwa kwebye nyumba za ibada.
Wanataka wakina dada wavae minguo mweusi tiii....mirefu inaburuza uchafu wote wa kariakoo....wakati wanaume wao wanavaa vipedo ili visiburuze chini vikazoa mavi ya kariakoo.
Wanataka wakina dada wavae minguo mweusi tiii....mirefu inaburuza uchafu wote wa kariakoo....wakati wanaume wao wanavaa vipedo ili visiburuze chini vikazoa mavi ya kariakoo.
Katika watu ambao HAMNAZO nasema wewe UMETIA FORA, wewe ni namba moja. Unashabikia upumbavu wa makahaba? Kamchukue mkeo kama unae mvalishe huo upuuzi unaoshabikia pita nae mtaani kama jamii haikukuona kuwa wewe ni bwabwa, maana mwanaume rijali huwezi shabikia kuona upuuzi huo ili iwe vipi? Kwanza ni aibu kuongozana na mwanamke ambae amevaa nusu uchi na sio sifa. Pole sana ukikua utaelewa nini ninamaanisha na kama tayari wewe ni mtu mzima basi rudi milembe ukamilizie ile dozi bado hujapona, nasema hivi hujapona rudi hospitali haraka sana vinginevyo utasababisha maafa
Kenge kweli....I am F old than your momy. Dont het on my way.
Upuuzi wa kuwaamulia watu wavae nini na nini kipo comfortable kwako ni sawa na kitaka kijijambisha tu.
Acheni wendawazimu. Msiwahukumu watu kwa vipengele vya imani zenu....wahukumuni waumini wenu kwenye ibada zenu.
Kumbe wewe ndio wale wa ohio? Samahani sikujua kama upo katika mabiziness na mabiashara ila sasa kwanini usimalizie matangazo huko huko ohio tu ama kule kwingine ambapo ndio hua mnawinda? Kariakoo sio mahala pako, wewe kasubiri huko kwenye mitaa yenu ya kujidai ili uuze vizuri, ebo... eti older than my mom, wewe tumbiri kweli, unajua mimi ninaumri gani? Unatafuta kubakuliwa nini? Kama ndio hivyo unawashwa na biashara yako ile ya naniliu imegoma, hayaaaaa pita mitaaa hiyo ukashughulikiwe na vijeba vya shimoni
Kinachowasumbua ni ufinyu wa elimu kuhusu haki za binadamu na hulka zenu za kuwanyanyasa wanawake. Mwanamke hata avaeje mhalifu wa ubakaji atambaka tuu, ushahidi ni kwamba hata huko nchi ambazo wanawake hulazimika/hulazimishwa kufunika viungo vyao vyote vya mwili labda isipokuwa macho, yapo makosa ya ubakaji. Kwahiyo kusingizia mavazi ni kujificha katika lindi la unyanyasaji na utamaduni mbovu dhidi ya haki za binadamu/wanawake.Liwe fundisho kwa wengine, mitego hiyo sijui wanamuwekea nani, vua sasa tembea uchi kichwa mbovu wewe....
Mkibakwa lawama, huku mnarahisisha kubwakwa wenyewe, ndio maana marekani yule mwalimu kafunguliwa kesi ya kubakwa akafungwa siku 30tu na jaji akasema binti mwenyewe ndio alikua anafanya mitego, na ni kweli, hormone zinachangamka zikiona sehemu nyeti kama hizo waziwazi....
Niambie ni mavazi gani unayovaa ww ambayo asili yake ni Tanzania na hujaiga kutoka utamaduni wa mataifa mengineMkuu nadhani kama wewe ni MTANZANIA wa kuzaliwa na kuishi TZ basi mimi sina haja ya kukuandikia hayo ulio yauliza.
Kila MTZ anajua ustaarabu wetu!
Hayo yaliobaki ni kuiga wazungu. Hayafai.
Ajabu hasa ukizingatia nguo tumeanza kuvaa hata karne haijafika.
Kenge maji kweli wewe....ask around. Naweza kuwa baba yako, muulize vizuri mama yako.