Sawa ngoja nimuite mtemi wa wasukuma Mtemi DEO NALIMI KISANDU
Mi nilimfungulia akaunti ya gmail kwa 200,000
Au Mtemi wa sengerema Ngeleja au naibu Rais tutajua kweli kawashika ila kama kamshika wa kutoka sangamwalugesha bado sana au akamshikishe Simon KisenaSiku ukifungua ac ya mtemi joka la makengeza ndiyo utawajua Kama siyo wa kuchezea hao watu.
Au Mtemi wa sengerema Ngeleja au naibu Rais tutajua kweli kawashika ila kama kamshika wa kutoka sangamwalugesha bado sana au akamshikishe Simon Kisena
Una matatizo makubwa wewe!! Kuna uwezekano wewe ni mtoto wetu! Hivyo amekupa za matumizi tu! Si unajua sisi hatuna hiyana!!
Akiweza kuwaingiza mjini hizo namba nitaamini ayasemayo mkuu
Anajichezesha tu mkuu,hawajui wale Ng'wanamalundi,Igembensabho,chapa ng"ombbhe!Akiweza kuwaingiza mjini hizo namba nitaamini ayasemayo mkuu
Inatakiwa aende Bujora makumbusho akajue kuna wasukuma mpaka mjerumani alisanda au aende bugarika aulize bibi fisi alikuwa naniAnajichezesha tu mkuu,hawajui wale Ng'wanamalundi,Igembensabho,chapa ng"ombbhe!
kisha baada ya kumfungulia hiyo account ya gmail ukwamwambia anatakiwa ku deposit laki tatu ili account iwe active.Mi nilimfungulia akaunti ya gmail kwa 200,000