unataka kusemaje mkuuInahitaji moyo mwanaume kusema ”sisi wanawake”
Ndio maana mimi nakupenda jinsi ulivyoKazi kwenu mnaojiedit
Tofauti yake Nini? Maana snap naisikia tuUjue kutofautisha kati ya editing na picha zenye snap filters
Homo habilisiSawa mkuu
Haiwezekani unarushiwa picha za rihanna, au Ariana grande unaenda kukutana na homo habilis
Sent using Jamii Forums mobile app
Sauti yangu mbona romantic? Au unachanganya ma file?Nimeogopa kwa kweli,tena hayo maandishi nimeyaweka kwenye ile sauti yako
Umesound kama umenifokea yani
Sauti yangu mbona romantic? Au unachanganya ma file?
Ana simu ya laki 4 (kwa mfano) halafu hana elfu 10 ya photoshootSioni tatizo mtu kujiedt kwa sababu haimpunguzii kitu alafu mnaotafuta wanawake mtandaon mjitaid kutofautisha pic ya kawaida nayakuedit... wengine hawana hela za kupoteza kufanya photoshoot ndomana anaamua kujiedit mwenyewe na viaplication uchwala mwisho wa siku anakua kituko.
Za zaman lbda ila za sasa zinawaka bila kiki
Watu wana magari na hawana pesa ya mafuta....sasa wewe pic moja ya photoshoot ni 5000 kwa bei ya chini na mtu anapost pic daily na a hawez kurudia zile zile...apo namaanisha kwa week ni kama laki au zaid..so lazma uangukie kuedit mwenyewe.
Hamna bana umehisi tu vibaya, siwezi kukufokea mtoto mzuri kama wewe.Asa nachanganyaje mafile wakati huku ulikuwepo/upo wewe tu
Sauti yako iko romantic lakini pale juu ulifoka bhana
Halafu siku ukija kukutana naye unakuta yuko hiviSisi wanawake ni waongooooo. Ubaya wake tunajiongopea hadi wenyewe 😂 utaona dada ameweka picha amei-edit mpaka inapoteza uhalisia halafu mwenyewe hata hayupo hivo; ukija kumuona live utakimbia bla kugeuka nyuma.
Hivi huwa tunapata faida gani kujidanganya hta wenyewe? Halafu anajua kabisa kuwa hayupo hivyo, ila akisifiwa mzuri anajibu asante kuubwa kama vile ypo hivo kweli 😂
Hivi kuna faida gani wakati haupo hivyo kabisa na mwenyewe ukweli unaujua haupo hivyo?
Sasa kama hyu kwa picha amejiedit mpaka vishimo vya pua havionekani hapo mwenyewe sijui anajiona kama malaika vile wakati moyoni mwake anajua hayupo hvo 😂😂 tupunguze editing. Kumbuka ku-edit picha hakukufanyi uwe mzuri wewe kama mzuri ni mzuri tu na kama mbaya hta ufanye nn ukweli utabaki kua wewe ni mbaya.
Tujikubali
Idonwload ujionee
Kwahiyo unataka kupingana na maandiko?profftobe,
Ati wanawake wameumbwa kwa ajili ya mwanaume na si vingine vyo watu wenye mawazo km yko mnakera.