my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Sisi wanawake ni waongooooo. Ubaya wake tunajiongopea hadi wenyewe 😂 utaona dada ameweka picha amei-edit mpaka inapoteza uhalisia halafu mwenyewe hata hayupo hivo; ukija kumuona live utakimbia bla kugeuka nyuma.
Hivi huwa tunapata faida gani kujidanganya hta wenyewe? Halafu anajua kabisa kuwa hayupo hivyo, ila akisifiwa mzuri anajibu asante kuubwa kama vile ypo hivo kweli 😂
Hivi kuna faida gani wakati haupo hivyo kabisa na mwenyewe ukweli unaujua haupo hivyo?
Sasa kama hyu kwa picha amejiedit mpaka vishimo vya pua havionekani hapo mwenyewe sijui anajiona kama malaika vile wakati moyoni mwake anajua hayupo hvo 😂😂 tupunguze editing. Kumbuka ku-edit picha hakukufanyi uwe mzuri wewe kama mzuri ni mzuri tu na kama mbaya hta ufanye nn ukweli utabaki kua wewe ni mbaya.
Tujikubali
Hivi huwa tunapata faida gani kujidanganya hta wenyewe? Halafu anajua kabisa kuwa hayupo hivyo, ila akisifiwa mzuri anajibu asante kuubwa kama vile ypo hivo kweli 😂
Hivi kuna faida gani wakati haupo hivyo kabisa na mwenyewe ukweli unaujua haupo hivyo?
Sasa kama hyu kwa picha amejiedit mpaka vishimo vya pua havionekani hapo mwenyewe sijui anajiona kama malaika vile wakati moyoni mwake anajua hayupo hvo 😂😂 tupunguze editing. Kumbuka ku-edit picha hakukufanyi uwe mzuri wewe kama mzuri ni mzuri tu na kama mbaya hta ufanye nn ukweli utabaki kua wewe ni mbaya.
Tujikubali