Sisi waafrika ni wajinga wa chakula

Mtyela Kasanda

JF-Expert Member
Oct 13, 2018
554
818
Moja kati ya mambo ambayo hatupo nayo makini kama waafrika ni msosi. Sijui ni nani aletuambiaga vyakula vinavoongeza nguvu ndo vya maana kuliko vingine.

Watu wanaokula ugali wanaonekana wa maana kuliko watu wa vyakula vingine. Hivi hatujiulizi kama ugali ungekuwa wa maana nchi zilizoendelea si zingechukua na kufanya moja ya chakula chao?

Katoto kadogo hata mwaka mmoja hakajafika vizuri unakatwanga uji, na ugali wa sembe kwa mbali. Ndomana akili zimedumaa, tuchina ni lege lege kweli lakini akili kibao.

Mi sijui hizo nguvu zinatusaidia nini wakati hata kwenye michezo hatufanyi vizuri.
Tunafundishwa masuleni, watoto wadogo wanatakiwa kula sana na kula protein kwa wingi, lakini sisi sasa uji ndo tunaona wa maana na kumfanya mtoto ale mara tatu tu kwa siku.

Wakati tumbo dogo manake linawahi kumeng'enya hivo linahitaji mlo mara nyingi zaidi kuliko tumbo kubwa.

Uji wa mahindi umejaa wanga, sukari ndo carbohydrate yenyewe sasa sijui tunakuza nguruwe. Tuna choroko, maharage, kunde na proteins nyingi kweli lakini kazi ni kuuzia wahindi, sisi wala.

Tuache ujinga vyakula vya kuongeza nguvu vitatufanya tuwe watumwa mpaka mwisho wa dunia.

Inawezekana maendeleo yetu yanashabihiana sana na aina ya vyakula tunavyokula.

Kama unasoma uzi huu, wewe umechelewa ila hakikisha kizazi chako kinaachana na ugali na vyakula visivyomaana.

Nasisi tupate kizazi cha teknolojia kama India na Asia mashariki jamani, achaneni na mavyakula yasio maana.
 
Moja kati ya mambo ambayo hatupo nayo makini kama waafrika ni msosi. Sijui ni nani aletuambiaga vyakula vinavoongeza nguvu ndo vya maana kuliko vingine. Watu wanaokula ugali wanaonekana wa maana kuliko watu wa vyakula vingine. Hivi hatujiulizi kama ugali ungekuwa wa maana nchi zilizoendelea si zingechukua na kufanya moja ya chakula chao? Katoto kadogo hata mwaka mmoja hakajafika vizuri unakatwanga uji, na ugali wa sembe kwa mbali. Ndomana akili zimedumaa, tuchina ni lege lege kweli lakini akili kibao. Mi sijui hizo nguvu zinatusaidia nini wakati hata kwenye michezo hatufanyi vizuri.
Tunafundishwa masuleni, watoto wadogo wanatakiwa kula sana na kula protein kwa wingi, lakini sisi sasa uji ndo tunaona wa maana na kumfanya mtoto ale mara tatu tu kwa siku. Wakati tumbo dogo manake linawahi kumeng'enya hivo linahitaji mlo mara nyingi zaidi kuliko tumbo kubwa. Uji wa mahindi umejaa wanga, sukari ndo carbohydrate yenyewe sasa sijui tunakuza nguruwe. Tuna choroko, maharage, kunde na proteins nyingi kweli lakini kazi ni kuuzia wahindi, sisi wala.
Tuache ujinga vyakula vya kuongeza nguvu vitatufanya tuwe watumwa mpaka mwisho wa dunia.
Inawezekana maendeleo yetu yanashabihiana sana na aina ya vyakula tunavyokula.
Kama unasoma uzi huu, wewe umechelewa ila hakikisha kizazi chako kinaachana na ugali na vyakula visivyomaana. Nasisi tupate kizazi cha teknolojia kama India na Asia mashariki jamani, achaneni na mavyakula yasio maana.

Ili uone Waafrika ( na hasa Watanzania ) baadhi ni Washamba kuna Siku moja nilipita pale Mwenge kwa wale Vijana wauza Matunda Mchanganyiko katika Sahani iliyokuwa na Ndizi, Embe, Nanasi, Papai, Parachichi na Tikiti Maji ambayo ilinigharimu kama Tsh 3,500/ au Tsh 4,000/ hivi kwani nilimwambia aniongezee Matunda mengine na cha Kushangaza walinipita Majamaa fulani hivi ambao niliwaona wakitoka Kununua Chips Kavu zilizowekwa ' Mayonaizi ' zenye Thamani ya Tsh 1,500/ na wakawa wanapita mbele yangu na Kuniona Mwanamume nakula Matunda yangu hayo wakawa wananicheka na kuniteta kuwa nimeishiwa ( nimepigika ) Kimaisha na ndiyo maana sikununua Kiepe Solo ( Chips Kavu ) kama Wao ndipo nikaamini kuwa kuna Watu si tu ni Washamba bali pia ni Wapumbavu Waandamizi kabisa.
 
Moja kati ya mambo ambayo hatupo nayo makini kama waafrika ni msosi. Sijui ni nani aletuambiaga vyakula vinavoongeza nguvu ndo vya maana kuliko vingine. Watu wanaokula ugali wanaonekana wa maana kuliko watu wa vyakula vingine. Hivi hatujiulizi kama ugali ungekuwa wa maana nchi zilizoendelea si zingechukua na kufanya moja ya chakula chao? Katoto kadogo hata mwaka mmoja hakajafika vizuri unakatwanga uji, na ugali wa sembe kwa mbali. Ndomana akili zimedumaa, tuchina ni lege lege kweli lakini akili kibao. Mi sijui hizo nguvu zinatusaidia nini wakati hata kwenye michezo hatufanyi vizuri.
Tunafundishwa masuleni, watoto wadogo wanatakiwa kula sana na kula protein kwa wingi, lakini sisi sasa uji ndo tunaona wa maana na kumfanya mtoto ale mara tatu tu kwa siku. Wakati tumbo dogo manake linawahi kumeng'enya hivo linahitaji mlo mara nyingi zaidi kuliko tumbo kubwa. Uji wa mahindi umejaa wanga, sukari ndo carbohydrate yenyewe sasa sijui tunakuza nguruwe. Tuna choroko, maharage, kunde na proteins nyingi kweli lakini kazi ni kuuzia wahindi, sisi wala.
Tuache ujinga vyakula vya kuongeza nguvu vitatufanya tuwe watumwa mpaka mwisho wa dunia.
Inawezekana maendeleo yetu yanashabihiana sana na aina ya vyakula tunavyokula.
Kama unasoma uzi huu, wewe umechelewa ila hakikisha kizazi chako kinaachana na ugali na vyakula visivyomaana. Nasisi tupate kizazi cha teknolojia kama India na Asia mashariki jamani, achaneni na mavyakula yasio maana.
Tatizo umeishia kulaumu tu, toa na mwongozo wa chakula bora ni kipi.
 
Moja kati ya mambo ambayo hatupo nayo makini kama waafrika ni msosi. Sijui ni nani aletuambiaga vyakula vinavoongeza nguvu ndo vya maana kuliko vingine. Watu wanaokula ugali wanaonekana wa maana kuliko watu wa vyakula vingine. Hivi hatujiulizi kama ugali ungekuwa wa maana nchi zilizoendelea si zingechukua na kufanya moja ya chakula chao? Katoto kadogo hata mwaka mmoja hakajafika vizuri unakatwanga uji, na ugali wa sembe kwa mbali. Ndomana akili zimedumaa, tuchina ni lege lege kweli lakini akili kibao. Mi sijui hizo nguvu zinatusaidia nini wakati hata kwenye michezo hatufanyi vizuri.
Tunafundishwa masuleni, watoto wadogo wanatakiwa kula sana na kula protein kwa wingi, lakini sisi sasa uji ndo tunaona wa maana na kumfanya mtoto ale mara tatu tu kwa siku. Wakati tumbo dogo manake linawahi kumeng'enya hivo linahitaji mlo mara nyingi zaidi kuliko tumbo kubwa. Uji wa mahindi umejaa wanga, sukari ndo carbohydrate yenyewe sasa sijui tunakuza nguruwe. Tuna choroko, maharage, kunde na proteins nyingi kweli lakini kazi ni kuuzia wahindi, sisi wala.
Tuache ujinga vyakula vya kuongeza nguvu vitatufanya tuwe watumwa mpaka mwisho wa dunia.
Inawezekana maendeleo yetu yanashabihiana sana na aina ya vyakula tunavyokula.
Kama unasoma uzi huu, wewe umechelewa ila hakikisha kizazi chako kinaachana na ugali na vyakula visivyomaana. Nasisi tupate kizazi cha teknolojia kama India na Asia mashariki jamani, achaneni na mavyakula yasio maana.
Aisee Kweli kabisa hapa Mimi nipo zangu Thailand huku mahindi ni chakula cha mifugo Sio binadaam. Kwa binadaam mahindi hutumika kama Kwa kiasi kidogo Sana yaani wao mahindi sanasana ni ya kuchoma. Huku protein inakuwa considered kama chakula muhimu Sana tena animal protein mayai, nyama, samaki, n.k. watoto wadogo unakuta wana akili nyingi na ni more intelligent. Watanzania inabidi ifike mahali tubadilike. Mimi nimeshaacha Kula maugali ni ulimbukeni.
 
tumejijengea utamaduni mbaya tu, jamii zote hazikupata utajiri ghafla, kwanini sisi tangu na tangu ni mivyakula ya nguvu tu? Wakati stanley anasafiri kutoka Zanzibar kwenda ujiji anasema alikua anatembea na waafrika wamebeba ugali.
Ugali wa lowe tena hata radha hauna
 
mkuu tushauri kula na vyakula vyenye kuboost akili basi,ila mwili wa kiafrica kukosa nguvu ni fedheha sana.

halafu pia ulichosahau ni kwamba,vyakula vyote ambavyo vinafaida kiakili na wanatumia wenzetu,ni vibaya mno mdomoni,havivutii,uliisha wahi kunywa supu ya wachina mkuu utashindwa hata kushangaa ni, madodoki+matango+maboga+ndevu za mahindi na maji mengi sana inachemshwa.

wali wanauchemsha bila mafuta wala chumvi,hapa ndio utajua bado tuna mengi hatujajua bado.
 
tumejijengea utamaduni mbaya tu, jamii zote hazikupata utajiri ghafla, kwanini sisi tangu na tangu ni mivyakula ya nguvu tu? Wakati stanley anasafiri kutoka Zanzibar kwenda ujiji anasema alikua anatembea na waafrika wamebeba ugali.
aisee
 
Kuna wadau wanaona kama imeongea ukweli ila binafsi yangu naona hujuu unachokiongea,swala la chakula linatokana na utaratibu wa kila watu katika taifa fulani.
Chakula hakina uhusiano wowote na akili ni uongo mtupu kama Mungu alitaka tuwe na akili kuliko hao wachina basi ingekuwa hivyo.kuna familia hapa hapa Tanzania hawali ugali na wanazingatia hivyo vyakula ulivyo vitaja hapo juu but hawana akili hata 1.
Umetolea mfano wa wachina,kwa taarifa yako katika mataifa ambayo watu wake wana akili hao wachina hawapo na hawajawi kuwepo.
Umasikini wa kihali na kiakiri wa waafrika unatokana na Muumba aliyetuumba-ambapo zikaja sababu za kihistoria.
 
Ni kweli kuna uhusiano mkubwa kati ya Vyakula na akili,unachokisema kina jenga mantiki fulani.Haya uliyoyaandika ukiwaambia watu wanakwambia tutolee usabato wako.Bahati mbaya ni kuwa sisi waafrika tukiwa na pesa ndio tunakula vibaya zaidi,ndio utakuta mtu anakimbilia vyakula vya super markets na junk foods ili aonekane wa kisasa,mjanja na mwenye nazo.Wazungu matajiri ndio soko la mboga mbogo na mazao yaliyolimwa bila mbolea ya viwandani,wala kunyunyiziwa kemikali.Kuna mikoa ina rutuba kiasi unaweza kuvuna bila kutumia mbolea lakini bahati mbaya ni kuwa tumekaririshwa kuwa tija ya kilimo ni mbolea.

Kimsingi ugali siyo dili sana kwenye afya ya ubongo,ndio maana hata kitabibu watu ushauriwa sana kula matunda na mboga za majani .Tatizo kubwa ni kuwa familia nyingi za kiafrika hatumudu kula matunda ya kutosha na hayo matunda yanapoletwa nyumbani ni vitu special na vinawekwa kundi la zawadi,ndipo utakuta mtu anasema ngoja ni nunue nnanasi niwapelekee watoto zawadi.Watu walio na elimu hii matunda ni hitaji muhimu na ya lazima kwa familia si anasa wala zawadi.Kwahiyo tutaendelea kula ugali ili tumbo lijae muda mrefu,na ni rahisi kupatikana na rahisi kwa gharama.
 
Back
Top Bottom