Dah!! Aisee nimecheka kweli kidogo nipaliweMali umeitumia bila ya matunzo na huduma inayohitaji. Kama alikuwa aking'aa sasa kachakaa kama ana kwashiakoo. Smile lake la kufaa kutumika kwenye tangazo la Colgate kabla hujamuoa, sasa ana mapengo baada ya kumdunda.
Lazima uuze kwa hasara.
Unanunua kwa milioni 10 baadae unaenda kuuza kwa milioni 3 hasara kabisa
Hawezi kutia timu hapa..lolBishanga ametulia kimyaaaaaa!
Mamushka najua unanijua vizuri. Mwambie Gaijin aache fujo eti.
Hawezi kutia timu hapa..lol
Nilishawaambia vijana, kuna wanaume wengine watakuja kumwaga mapointi yao hapa. Nadhani wameniamini sasa....Asee!!! duh!!
sasa hapa,...aseee, duh! yani ni kwamba,
wale wavulana, ruksa kuhangaika na wasichana ambao hawajamilikiwa na WANAUME.
Ingekuwa kwenye STOCK EXCHANGE ingekuwa safi sana ukiona shares zako zimepanda huyoooo unauza, uliishawahi kuona gari limepaki sehemu limebandikwa karatasi "For Sale Call The Following Numbers 0784....." halafu linakaa hapo karibia miezi sita hadi bodi inaanza kupata kutu
Hahaha! Gee hapa nimecheka bila kituo, kha.Mali umeitumia bila ya matunzo na huduma inayohitaji. Kama alikuwa aking'aa sasa kachakaa kama ana kwashiakoo. Smile lake la kufaa kutumika kwenye tangazo la Colgate kabla hujamuoa, sasa ana mapengo baada ya kumdunda.
Lazima uuze kwa hasara.
Kisha hili suala tusifanye mas'hara lina manufaa makubwa kwa mzunguko wa fedha na uchumi kwa ujumla.
Mahari yakianza kukatwa kodi, thamani ya nyumba ndogo itapanda nayo kwa vile demand itaongezeka kukwepa kodi! lolz
Na akitia tim amekwisha,kawaagiza Gaijin na bht waje wasimamie mada,lakini nao wanakula za uso!
Na akitia tim amekwisha,kawaagiza Gaijin na bht waje wasimamie mada,lakini nao wanakula za uso!
Kuna haja ya kufanya feasibility study ili kujua kama kutakuwa na returns zozote ambazo zitakuwa beneficial maana isije mtu ukaishia kufanya investment wakati hata uwezo wa ku-afford kununua generator pindi pale umeme unapokatika haunalol @ hadi bodi inaanza kupata kutu
Biashara ikishatambulika rasmi kwenye nyaraka za serikali, hakuna cha kuwazuwia kuweka kwenye stock exchange.
Jibaba ukifulia na hali ya mke kudhoofu, "thamani ya mabadilishano ya mke" inashuka na kugaragara.
aaaaam, na hapo ngoja tupatafutie mpango mkakati Gee...lol
aaaaam, na hapo ngoja tupatafutie mpango mkakati Gee...lol
Asprin hawa Gaijin na bht ni wadada pekee ambao wanaombaa na sisi kwenye huu mjadala kisawasawa wako wawili tu lakini wanakaba utafikiri Chadema aisee