Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,144
- 2,513
Kama mamiloo!!tatizo lipi au unatest ramli yako kama inafanya kazi?....
Kama mamiloo!!tatizo lipi au unatest ramli yako kama inafanya kazi?....
Itakuwa ni lijanaume hili.Mimi navutiwa na wanaume wa kawaida wale wazuri naona ntateseka sijisifujapo mimi ni kazuri
Tukuonee mtoto mzuriiiiiiiMimi navutiwa na wanaume wa kawaida wale wazuri naona ntateseka sijisifujapo mimi ni kazuri
Kwani mnatembea uchi?Tofauti ni mashine
Mi kila demu ntaemtongoza huwa anajibu " kwa jinsi ulivo huwezi kosa mpenzi" yaani nimejikuta tu fungu la kukosa na nshakata tamaa sitongozi mtu now, naeza kaa ata mwaka sina demu, nishazoeaha
ndugu name ctak tena kutongza
ova
Nashindwa kuelewa kuhusu ili jinamizi linalotukumba sisi ma handsome boys maana tunaongoza kudate na wanawake vimeo wasiokuwa na mvuto kabisa sijui tunakwama wapi aisee!inabidi tuitishe kikao cha dharura kama walichoitisha mabaharia
Tatizo wao huwa wanafikiri handsome boy ni mwanaume mwenye sura nzuri kama ya kike handsome boy ni mwanaume aliyekaa kiume ndo wanawake wanapenda siyo mwanaume umefanana naye!!Handsome boy wengi huwa wana amin kwa uzuri walio nao lazima watongozwe na wanawake,Hivo hujikuta wakiishia kushobokewa na wale madem wabovu au majimama.
Kwani mnatembea uchi?
Ila public mnapenda kuonekana mkiwa na sisi.Wadau wameogopa kuwaambia ukweli,, ni hivi hb hamjui kufanya, hamjui kusaka noti, hamjui kubembeleza mnaita romantic, hamna amsha amsha kiujumla hamshtui hisia za wanawake wengi
Ila public mnapenda kuonekana mkiwa na sisi.
Umenikumbusha hiii pichaTatuta hela... Achana na U Handsome..
UHandsome HAULIPI BILLS...
TAFUTA HELA
TAFUTA HELA
TAFUTA HELA
TAFUTA HELA
"Ukiwa na hela Vingine utaongezewa AUtomatically""
Hmm sasa kwani kuna shida gani sister?Mbona nyie mnajisifiaga ma beautiful...Alaf sio wote hulamba lips kwa mfano mimi hulamba papuchi tu bas.Yaani wanaume mnajisifia kabisa ni mahandsome duuh, hongereni walamba lips
Kajinga weweHmm sasa kwani kuna shida gani sister?Mbona nyie mnajisifiaga ma beautiful...Alaf sio wote hulamba lips kwa mfano mimi hulamba papuchi tu bas.
, mwanaume anasifiwa pochi Nene basi, mnajisifia uzuri mtalelewa ohooo, wasalimie hapo Fas ya R, naprint nakuja huko dingilaiOooh whaoo!!Karibu sana Gachuland Dadalai,utafikia kwa jimama langu uku njiro halinaga kwere ata,Kajinga wewe, mwanaume anasifiwa pochi Nene basi, mnajisifia uzuri mtalelewa ohooo, wasalimie hapo Fas ya R, naprint nakuja huko dingilai
Mkuu hapo uliposema inayopelekea kupata wanawake wa hovyo wasio na direction umemaanisha nini..ufafanuzi wako ni muhimuKama ilivyo kwa mwanamke mzuri ukiwa nae ni kasheshe anaweza kuwa cha ote(sio wote) basi ndo hivyo pia kwa upande mwingine jinsi wanawake wenye hekima na busara wanavyowachukulia wanaume wazuri kua vya wote( sio wote) .
Na hiyo ndio sababu inayopelekea kupata wanawake wa hovyo wasio na directions.. Ila kuwa na subira utapata perfect match wako utafurahia maisha..