kwa usalama wa mwili na akili waachie ada ukaombe chuo kingine kama
lakini tujikumbushe haya kwa mwanafunzi anayesoma Phd chuo bora na chenye mifumo safi ya technology
mwanafunzi anafatiliwa kabisa hatua kwa hatua kuhusu thesis yake au dissertation yake
mwalimu nae anafatiliwa zaidi kuona kuwa wanafunzi wake wanakamilisha kwa wakati dissertation zao
uongozi wa chuo unafatilia kila hatua na kama mwanafunzi anaonekana kuchelewa unaulizwa sababu nini upo pale kukamilisha ndoto zake na sio kufeli ndio maana mwl akiona unafeli anakurekebisha hizi ndio hatua muhimu kabisa kwa vyuo bora duniani nafikiri kwa afrika hakuna
basi tuyaache hayo acha kusoma hapo omba vyuo hivi nmezipanga kwa mpangilio
- ESAMI Home • ESAMI
- The Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST)
- UDSM
- UDOM
- SAUT
ila kama una nafasi omba za ulaya