- Thread starter
- #41
Noted mkuuIkifika miezi mi3 pima tena mkuu!
Noted mkuuIkifika miezi mi3 pima tena mkuu!
Wewe umeona uwezo upi mkuu ?Kwa uwezo wako wa king'amua mambo bila shaka umeajiriwa na gavoo.
No, my status nilikua naifahamu . Huwa napima more often....na nilikua sijarisk Toka mara ya mwisho kucheck hali yanguVp na wewe ulimtumia picha zako za hiv test?
NotedMwezi mmoja HIV test bado si conclusive, pima tena baada ya wiki ya 6
Wakuu hope mko fine.
Aisee sitakaa nirudie Tena. Ngoja niwape japo Kwa ufupi kilichonisibu. Ni mwezi sasa umepita. Nilipata safari ya kikazi Dodoma. Katika harakati za kitaa nikapita lounge Moja kujireflesh baada ya kuwa na siku ngumu kidogo.
Pale nikahudumiwa na dada mmoja mashalaah, umbo namba nane , miguu ya bia, Ila alikua mtulivu sana. Kwa kutumia intelejensia ya kitaa nikabaini huyu pia atakuwa mgeni pale, sikufanya ajizi baada ya huduma nikamuita nikaomba bili yangu . Ikasoma elfu kadhaa, nikalipa then kwenye risiti ya malipo nikaandika namba yangu na kumpatia huku nikimuachia change kama buku 7 na kumwambia aunge bandle na anitafute.
Mimi nikaendelea na mishe zangu. Mida ya saa 4 usiku akanicheck. Tuwekana sawa na kumuomba aje hotel nilipofikia. Mida ya saa 5 akanicheck, nilikuona una usafiri private kama hutojali njoo unifuate. Nikajibu asijali nitakuwa hapo baada ya dk kadhaa.
To make the story short, nilimwamini Kwa maneno na kipimo cha HIV test alichokua amekipiga picha. Alikua amefanya test sio zaidi ya week. Wakuu nikajilipua, nikamnyandua pekupeku. Bidada alikua mtamu, no smell in papuchi, in short alikua neat sana.
Kimbembe kikaanza siku 3 baada ya mechi miwasho hainiishi sehemu za siri, baadae kucheck ngozi ya mkuyenye imeota ukurutu, nikajua mamake yule mwanga keshaniingiza king. Nikajisalimisha hospitali nikatibiwa.
Ni mwezi Sasa, vipimo vya HIV still ni negative. Na muwasho wa fungus na UTI nao umeisha. Namshukuru Mungu kwa kunisaidia katika hilo.
Maamuzi yangu, sitokuja tena kumnyandua demu peku Kwa vigezo cheap kama nilivyovitumia. Mademu ni wazuri ila papuchi zimebeba magonjwa mengi sana.
Tuendelee kuchukua hatua. Asomaye na afahamu.
Hivi unawezaje kukutana na mwanamke humjui alafu unatembea nae peku, kama unajali future yako usipoteze mda wako kupima wewe tumia condom kiusahii alafu Tena bar maidMengi tuliongea nae, nimefupisha. Kulikua na evidence nyingi hakuwa na Ngoma na ndo maana nilijilipua
Kwahiyo yeye hakuhitaji vipimo vyako? AiseeNo, my status nilikua naifahamu . Huwa napima more often....na nilikua sijarisk Toka mara ya mwisho kucheck hali yangu
Ila wanaume akili zenu matope, hivi unaanzaje kumkuta mwanamke bar ni mhudumu, ukashindwa kujuiliza ameonwa na wangapi? Hivi mnaumwa nini nyie?
ila katika viumbe ambao hawana kinyaa niwanaume, hata ukitumia kinga so long as dada ni mhudumu huyo ni cha wote.tumieni akili
Kwa vipimo vya sasa ni wiki kadhaa tu mkuu kama unao damu lazima isome chanya...Duh we jamaa noma sana unawezaje kumwamini mwanamke kwa nadharia, yan mtu anakutumia picha ya hiv test alafu unaamini! Hivi kama iyo picha ameipakua mahala na kuwahadaa wanaume wanaokuja apo bar utajuaje mkuu dah kwel nyege mbaya sana. Alafu kuhusu kupima ilitakiwa baada ya miezi mitatu ndio uchek kwa mwezi mmoja ni mapema sana.
Labda teknolojia imebadilika sana mkuuKwa vipimo vya sasa ni wiki kadhaa tu mkuu kama unao damu lazima isome chanya...
💯🤝Mademu ni wazuri ila papuchi zimebeba magonjwa mengi sana.