Sirudii tena

Sirudii tena

Mi sirudii deki aisee only once and forever. Nimepata candida mdomon nipo kwwnye dose
 
Mkuu pole sana. Mimi huwa natumia kinga all the Time everywhere
 
Dodoma kumejaa wale madereva wanakitembeza nchi nzima na zile pesa zao za perdiem,

Kwa ufupi hapafai kabisa
 
Ukimwi hukosi ikipita miezi 6 hujaharisha na ukiona umeharisha na mnyeo haujatudi pahala kwake umekwisha Mana unatakiwa uharishe na Malinda yarudi kibana Kama kawa yakiwa hakuna kurudi usiisahau hiyo lodge na huyo bint
Wewe ni kijana wa hovyo
 
Mkuu jipige kifua useme kwa sauti maneno haya “MIMI SINA AKILI”
 
Ila wanaume akili zenu matope, hivi unaanzaje kumkuta mwanamke bar ni mhudumu, ukashindwa kujuiliza ameonwa na wangapi? Hivi mnaumwa nini nyie?

ila katika viumbe ambao hawana kinyaa niwanaume, hata ukitumia kinga so long as dada ni mhudumu huyo ni cha wote.tumieni akili
Ungekua mwanaume usingesema ayo
 
Wakuu hope mko fine.

Aisee sitakaa nirudie Tena. Ngoja niwape japo Kwa ufupi kilichonisibu. Ni mwezi sasa umepita. Nilipata safari ya kikazi Dodoma. Katika harakati za kitaa nikapita lounge Moja kujireflesh baada ya kuwa na siku ngumu kidogo.

Pale nikahudumiwa na dada mmoja mashalaah, umbo namba nane , miguu ya bia, Ila alikua mtulivu sana. Kwa kutumia intelejensia ya kitaa nikabaini huyu pia atakuwa mgeni pale, sikufanya ajizi baada ya huduma nikamuita nikaomba bili yangu . Ikasoma elfu kadhaa, nikalipa then kwenye risiti ya malipo nikaandika namba yangu na kumpatia huku nikimuachia change kama buku 7 na kumwambia aunge bandle na anitafute.

Mimi nikaendelea na mishe zangu. Mida ya saa 4 usiku akanicheck. Tuwekana sawa na kumuomba aje hotel nilipofikia. Mida ya saa 5 akanicheck, nilikuona una usafiri private kama hutojali njoo unifuate. Nikajibu asijali nitakuwa hapo baada ya dk kadhaa.

To make the story short, nilimwamini Kwa maneno na kipimo cha HIV test alichokua amekipiga picha. Alikua amefanya test sio zaidi ya week. Wakuu nikajilipua, nikamnyandua pekupeku. Bidada alikua mtamu, no smell in papuchi, in short alikua neat sana.

Kimbembe kikaanza siku 3 baada ya mechi miwasho hainiishi sehemu za siri, baadae kucheck ngozi ya mkuyenye imeota ukurutu, nikajua mamake yule mwanga keshaniingiza king. Nikajisalimisha hospitali nikatibiwa.

Ni mwezi Sasa, vipimo vya HIV still ni negative. Na muwasho wa fungus na UTI nao umeisha. Namshukuru Mungu kwa kunisaidia katika hilo.

Maamuzi yangu, sitokuja tena kumnyandua demu peku Kwa vigezo cheap kama nilivyovitumia. Mademu ni wazuri ila papuchi zimebeba magonjwa mengi sana.

Tuendelee kuchukua hatua. Asomaye na afahamu.
Wee papuchi kweli ,ina magonjwa ila kuchakata na condom ni matumizi mabaya ya hela
 
Back
Top Bottom