Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,184
Mi sirudii deki aisee only once and forever. Nimepata candida mdomon nipo kwwnye dose
Ngoja wenye taaluma yao waje watujuze mkuu...Labda teknolojia imebadilika sana mkuu
Sure, but Dkt hospital alisema vipimo at least 2week apart ni confirmatoryNgoja wenye taaluma yao waje watujuze mkuu...
Pole mwambaMi sirudii deki aisee only once and forever. Nimepata candida mdomon nipo kwwnye dose
Ndo hivyoLabda teknolojia imebadilika sana mkuu
YeahKwa vipimo vya sasa ni wiki kadhaa tu mkuu kama unao damu lazima isome chanya...
Dah kwa sasa wakulungwa wengi wanalalama sana kuhusu pisi kali zimeoza sana yan sio powa sijui shida ni niniNdo hivyo
Nitarudia ila vipimo viwili vilivyotofautiana week 2 vinaaminikaSubir ndan ya miez mitatu hence comfirmed
Huyu kijana ni lofa mnoDemu ana picha za kipimo cha HIV.
Ulishindwa kujua huyo ni muuzaji.
Ndio zinatakiwa ziwe na kinyaa🤣Nyege zina kinyaa?!
🤣🤣🤣🤣Tatizo wewe sio mwanaume . Ata nikisema hutaelewa
Wewe ni kijana wa hovyoUkimwi hukosi ikipita miezi 6 hujaharisha na ukiona umeharisha na mnyeo haujatudi pahala kwake umekwisha Mana unatakiwa uharishe na Malinda yarudi kibana Kama kawa yakiwa hakuna kurudi usiisahau hiyo lodge na huyo bint
Third generation antibody test ni 99% accurate wiki 6 post exposure.Labda teknolojia imebadilika sana mkuu
Asante ,fata maelekezoWewe ni kijana wa hovyo
Ungekua mwanaume usingesema ayoIla wanaume akili zenu matope, hivi unaanzaje kumkuta mwanamke bar ni mhudumu, ukashindwa kujuiliza ameonwa na wangapi? Hivi mnaumwa nini nyie?
ila katika viumbe ambao hawana kinyaa niwanaume, hata ukitumia kinga so long as dada ni mhudumu huyo ni cha wote.tumieni akili
Wee papuchi kweli ,ina magonjwa ila kuchakata na condom ni matumizi mabaya ya helaWakuu hope mko fine.
Aisee sitakaa nirudie Tena. Ngoja niwape japo Kwa ufupi kilichonisibu. Ni mwezi sasa umepita. Nilipata safari ya kikazi Dodoma. Katika harakati za kitaa nikapita lounge Moja kujireflesh baada ya kuwa na siku ngumu kidogo.
Pale nikahudumiwa na dada mmoja mashalaah, umbo namba nane , miguu ya bia, Ila alikua mtulivu sana. Kwa kutumia intelejensia ya kitaa nikabaini huyu pia atakuwa mgeni pale, sikufanya ajizi baada ya huduma nikamuita nikaomba bili yangu . Ikasoma elfu kadhaa, nikalipa then kwenye risiti ya malipo nikaandika namba yangu na kumpatia huku nikimuachia change kama buku 7 na kumwambia aunge bandle na anitafute.
Mimi nikaendelea na mishe zangu. Mida ya saa 4 usiku akanicheck. Tuwekana sawa na kumuomba aje hotel nilipofikia. Mida ya saa 5 akanicheck, nilikuona una usafiri private kama hutojali njoo unifuate. Nikajibu asijali nitakuwa hapo baada ya dk kadhaa.
To make the story short, nilimwamini Kwa maneno na kipimo cha HIV test alichokua amekipiga picha. Alikua amefanya test sio zaidi ya week. Wakuu nikajilipua, nikamnyandua pekupeku. Bidada alikua mtamu, no smell in papuchi, in short alikua neat sana.
Kimbembe kikaanza siku 3 baada ya mechi miwasho hainiishi sehemu za siri, baadae kucheck ngozi ya mkuyenye imeota ukurutu, nikajua mamake yule mwanga keshaniingiza king. Nikajisalimisha hospitali nikatibiwa.
Ni mwezi Sasa, vipimo vya HIV still ni negative. Na muwasho wa fungus na UTI nao umeisha. Namshukuru Mungu kwa kunisaidia katika hilo.
Maamuzi yangu, sitokuja tena kumnyandua demu peku Kwa vigezo cheap kama nilivyovitumia. Mademu ni wazuri ila papuchi zimebeba magonjwa mengi sana.
Tuendelee kuchukua hatua. Asomaye na afahamu.