Sirudii kushika simu ya mwanaume

Sirudii kushika simu ya mwanaume

Sasa ulifanya ukaguzi ulitaka ukute msg za mpesa alizokufowadia?
 
Sasa hapo alitakiwa afanye kipi: Aachane na jamaa, au aache kushika simu!

Kuna meseji eti mlevi wa pombe baada ya kusoma gazeti akaona madhara mengi ya pombe, alikasirika akasema hasomi gazeti tena!

Both
 
Back
Top Bottom