MmmhNi mumeo?
Shukuru umejua sasa, unasema hutorudia ina maana utaendelea nae?
Na ukome kushikashika cm ambayo siyo yako.Nilikua nabisha lakini kwa niliyoyaona kwenye simu ya mwenza wangu moyo umekufa ganzi.....sirudii tena
Mmmh !! Umenichekesha eti madumu!! That's nice kujishabihisha nayo!!Uhh wapi me uvumilivu wa hivi sina maana tumepangwa kama foleni ya madumu
Both
Uhh wapi me uvumilivu wa hivi sina maana tumepangwa kama foleni ya madumu