Sirudii kushika simu ya mwanaume

Sirudii kushika simu ya mwanaume

Nilikua nabisha lakini kwa niliyoyaona kwenye simu ya mwenza wangu moyo umekufa ganzi.....sirudii tena

Kosa afanye yy, Lawama unajitupia ww?? Hebu mshukuru Mungu kwa kukudhihirishia huyo mtu hakufai na sio muaminifu, Songa mbele dont settle for less.. Usisikilize kauli za watu eti vumilia wanaume wote wanacheat... akija kukuletea maradhi lawama utampa nani? Ww ni wa thamani usikubali kufanywa Second Option.
 
Kosa afanye yy, Lawama unajitupia ww?? Hebu mshukuru Mungu kwa kukudhihirishia huyo mtu hakufai na sio muaminifu, Songa mbele dont settle for less.. Usisikilize kauli za watu eti vumilia wanaume wote wanacheat... akija kukuletea maradhi lawama utampa nani? Ww ni wa thamani usikubali kufanywa Second Option.
[/QUOTE
Mh Acha kuvunja ndoa ya Feisher
 
Nilikua nabisha lakini kwa niliyoyaona kwenye simu ya mwenza wangu moyo umekufa ganzi.....sirudii tena
Hongera kwa kupandishwa cheo
55686781_2182861531806159_1921817665312129024_n.jpeg


""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Back
Top Bottom