Sina fedha,sina Godfather wala hati ya nyumba/shamba ila nina kitu kimoja tu kinachonitia moyo,yaani ki-saikolojia ninaamini kuwa nitakuwa settler hata kama si wa kiwango cha kutisha.Kuna members humu wana michango ya maarifa please nipeni na mimi nitawarudishia feedback hapahapa jamvini.
Hongera sana Malila.
Sina fedha,sina Godfather wala hati ya nyumba/shamba ila nina kitu kimoja tu kinachonitia moyo,yaani ki-saikolojia ninaamini kuwa nitakuwa settler hata kama si wa kiwango cha kutisha.Kuna members humu wana michango ya maarifa please nipeni na mimi nitawarudishia feedback hapahapa jamvini.
Sina fedha,sina Godfather wala hati ya nyumba/shamba ila nina kitu kimoja tu kinachonitia moyo,yaani ki-saikolojia ninaamini kuwa nitakuwa settler hata kama si wa kiwango cha kutisha.Kuna members humu wana michango ya maarifa please nipeni na mimi nitawarudishia feedback hapahapa jamvini.
Settler=COLONIZER.
Settler - Wikipedia, the free encyclopedia
A settler is a person who has migrated to an area and established permanent residence there, often to colonize the area.
Have faith in JESUS and Yourself, offcourse, nothing is impossible under the SUN.
tafsiri ya settler umeikatisha,chukua ile ya pili yake. Sina mpango wa kutawala watu wala kuwahujumu.
Settlers are generally people who take up residence on land and cultivate it, as opposed to nomads. Settlers are sometimes termed "colonists" or "colonials" and -- in the United States -- "pioneers".
Please be of the last category....
Tafsiri ya settler ninayoipenda mimi ni hiyo niliyo highlight kwa red ink.
Sina fedha,sina Godfather wala hati ya nyumba/shamba ila nina kitu kimoja tu kinachonitia moyo,yaani ki-saikolojia ninaamini kuwa nitakuwa settler hata kama si wa kiwango cha kutisha.Kuna members humu wana michango ya maarifa please nipeni na mimi nitawarudishia feedback hapahapa jamvini.
Poa mkuu nitakugongea pm yangu sasa hivi mkuu. Ila inabidi uwe na moyo mkuu ukizingatia inabidi tupambane kikamilifu.
Poa mkuu nitakugongea pm yangu sasa hivi mkuu. Ila inabidi uwe na moyo mkuu ukizingatia inabidi tupambane kikamilifu.
Am with you camarade.......
Nimerudi toka safari ya Moro vijijini, huko nimeona naweza kutimiza ndoto za kuja kuwa settler fulani hivi hasa ktk kilimo, kama uko nasi njoo tuunganishe miguvu tukafanye mambo huko.
Malila please nipm na mm ukiwa na muda. Niko more than serious na hii issue ya kilimo tena nataka kulima huko huko Morogoro please nasubiri hiyo pm yako ili tuone ni vp we can move forward together. ThanX!
TUPO wengi ktk hii safari ya Malila.Am with you camarade.......