Siri za nchi ni zipi (mambo ya aina gani)

Siri za nchi ni zipi (mambo ya aina gani)

Zamani sana mwaka 1977 Tanzania ilikumbwa na kesi nzito ya Ujasusi dhid ya mtu anaitwa Zangira. Wakati huo Pius Msekwa alikuwa Katibu Mtendaji wa CCM kabla cheo cha Katibu Mkuu kuundwa; katika moja ya ziara zake alipita shuleni kwetu, na mwanafunzi mmoja alimuuliza swali kwa nini serikali hailindi siri zake hadi kuibiwa na watu kama Zangira.

Msekwa alijibu kuwa "kwanza, siri ni nini, na kwa nini ni siri na ni siri kwa nani" Kamalizia kuwa Serikali ya Tanzania haina siri za kuwaficha wanachi wake
 
Siri zipo nyingi sana huku Serikalini, na kadri unavyopata cheo ndio kiwango cha kufahamu siri kinaongezeka.

Kumbuka kwa kila siri unayoijua ni sawa na kukaribia kifo,maana ikivuja tu wajuba wakajua ni ww-ndio by by.

Mfano wa Siri ni kwenye mikataba ya kimataifa baina ya nchi na nchi.
 
Siri zipo nyingi sana huku Serikalini, na kadri unavyopata cheo ndio kiwango cha siri kinaongezeka.

Kumbuka kwa kila siri unayoijua ni sawa na kukaribia kifo,maana ikivuja tu wajuba wakajua ni ww-ndio by by.

Mfano wa Siri ni kwenye mikataba ya kimataifa baina ya nchi na nchi.
Mikataba siyo kitu cha siri duniani.
 
Siri zipo nyingi sana huku Serikalini, na kadri unavyopata cheo ndio kiwango cha siri kinaongezeka.

Kumbuka kwa kila siri unayoijua ni sawa na kukaribia kifo,maana ikivuja tu wajuba wakajua ni ww-ndio by by.

Mfano wa Siri ni kwenye mikataba ya kimataifa baina ya nchi na nchi.
Kuna Siri ya watu wawili au zaidi?
 
Jamii hiyo hiyo itakuuliza: Vipi wewe mwenzetu hufanyagi hayo? Halafu wataguna kwa jawabu utakalotoa kwani kwa 100% unafanya tena pengine kuwazidi.
Ok, tuache matani!

Unajua katika nchi nyingi sana hasa hizi za Afrika mikataba mingi ni Siri ambayo ukiwa nje ya serikali huwezi ukazijua, ndiyo maana watu wanaogombea urais hasa wapinzani wanaanza kutoa ahadi kede wa kede lakini wanashindwa kuyatimiza pindi wakiingia madarakani.

Unadhani wanashindwa kutimiza zile ahadi kwa sababu hawautaki kutimiza? Jibu ni kwamba wanataka kuyatimiza lakini tatizo ni kwamba wamekuta mfumo ambao hawakutegemea kuukuta na unawafunga, hii ndiyo sababu nchi nyingi za Afrika hazipigi hatau.
 
1.Mwenge kukimbiza minge
2.mazindiko na matambiko ya inji ushirikina waganga wa kienyeji,..ulinzi wa majini kumiliki majini kwa viongozi
3.Kuuza rasilimali za inji...mikataba mibovu,matumizi mabaya ya kufuja mapesa,misaada,mikopo na kodi za wa inji,matmizi mabaya ya madaraka kijilimbikizia mali,UFISADI,wiZi,GRAND CORRUPTION
Mapiga dili haramu na halali ,dili chafu(ikiwemo madawa ya kulevya)
4.vikundi vya watekaji,na wauwaji dhidi ya wale wanao kemea maovu
5.kusalitiana kuwindana vita vya wenyewe kwa wenyewe kugombea madaraka,kumalizana FISI KULANA wao kwa wao kugombea nafasi za uongozi.
6.kuficha mapesa nje ya inji.na kuwekeza nje ya inji.kuwekeza nje ya inji kwa fedha za ufisadi
Yale yote allyokuwa anayasema HP ni mfano wa siri za sirikali,ni madhambi makubwa,ushetani mkubwa,watu wa sirikali ndio mashetani wenyewe,hakuna mtu mwema sirikalini.
 
Mfano kiongozi fulani ni shoga au mlawiti, anafanya mapenzi na watoto wadogo wa jinsia zote, wakina fulani walimuua au kumpa sumu Mr au Ms fulani, kampuni fulani ni ya fulani , wateule wengi ni nguvu ya fulani, fulani huwa anashinda na kutembelea maeneo fulani, fulani ana udahaifu huu na huu.

Mengine siri za ununuzi wa silaha za jeshi mfano ubora au udahaifu wake na hata gharama za halisi na kiasi tulicholipa, zinakohifadhiwa, usafirishaji wake nk
Pia siri za vikao vikubwa kama baraza mawaziri, chama, usalama, jeshi na vikao vya wachache wenye ushawishi na mambo mengine ya siri.

Mengine ni udhaifu wa watendaji wa serikali ktk utendaji, utekelezaji wa bajeti na upuuzi mwingine mwingi sanjali na kuvujisha nyaraka na taarifa mbalimbali.

NITAREJEA: Mambo ni mengi mno.
 
Kwa anayefahamu, hizo SIRI za NCHI huwa ni mambo ya aina gani?
Kubwa ni Mila,Tamaduni na Destuli zetu hivi ndivyo vinavyopaswa kulindwa kwa gharama ya Damu vijana Sasa ivi wanataka uzungu mwishowe nchi itakuwa ya mashoga na wasagaji.
 
1.Mwenge kukimbiza minge
2.mazindiko na matambiko ya inji ushirikina waganga wa kienyeji,..ulinzi wa majini kumiliki majini kwa viongozi
3.Kuuza rasilimali za inji...mikataba mibovu,matumizi mabaya ya kufuja mapesa,misaada,mikopo na kodi za wa inji,matmizi mabaya ya madaraka kijilimbikizia mali,UFISADI,wiZi,GRAND CORRUPTION
Mapiga dili haramu na halali ,dili chafu(ikiwemo madawa ya kulevya)
4.vikundi vya watekaji,na wauwaji dhidi ya wale wanao kemea maovu
5.kusalitiana kuwindana vita vya wenyewe kwa wenyewe kugombea madaraka,kumalizana FISI KULANA wao kwa wao kugombea nafasi za uongozi.
6.kuficha mapesa nje ya inji.na kuwekeza nje ya inji.kuwekeza nje ya inji kwa fedha za ufisadi
Yale yote allyokuwa anayasema HP ni mfano wa siri za sirikali,ni madhambi makubwa,ushetani mkubwa,watu wa sirikali ndio mashetani wenyewe,hakuna mtu mwema sirikalini.
WHITE ELEPHANTS SCHEMES kula 10 % percents za mamiradi makubwa ya gharama kubwa ambayo hayana FIAFA faida ,yanendeshwa kwa hasara,lakini MAJIZI yanaangalia 10% yao ya UDALALI.
MAUJINGA NI MENGI SANA


kwa kifupi siri za surikali ni MAUJINGA YAO na USHETANI UFIRAUNI..haya majitu ya sirikali yote yatakufa vibaya sana na hayataiona pepo/mbingu yataishia jehanamu yo MOTO na adhabu ya KABURI.
 
Back
Top Bottom