Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 36,935
- 49,430
Pitia hili hili jukwaa nyuzi za miaka ya nyuma, utazikuta humuHazina jina?
Pitia hili hili jukwaa nyuzi za miaka ya nyuma, utazikuta humuHazina jina?
Ni ufisadi, upigaji, ubadhirifu na rushwa kubwa zinazofanywa na vigogo ndani ya chama na serikali. Hakuna kingine zaidi ya hicho
Sitaki utaje siri.Siri zitabaki kuwa siri tu!
Sitaki utaje siri.Kiukweri mimi ningekwambia Siri ya nchi ni ipi lakini nashindwa kusema Kwa kua ni Siri
Kama yapi?Siri ni kitu ambacho wewe upaswi na utakiwi kujua.
Ata mume wako asipotaka ujue kitu hiyo ni siri
Nchi kupitia serikali ina vitu haitaki raia wake wasio na makoromeo wajue au nchi nyingine za jirani au za mbali
Yule Jamaa Mjinga Sana Sana 😎🤣😆TakatakaUnataka kuokotwa😁😂😂
Msigwa kashaingia anga za Bashite, kalambishwa damu za watu.Yule Jamaa Mjinga Sana Sana 😎🤣😆Takataka
Mipango ya kuua na kuwekea sumu Watu, ndio siri za GersonKwa anayefahamu, hizo SIRI za NCHI huwa ni mambo ya aina gani?
Nakuhakikishia kwamba kila UBAYA anaoufanya utalipwa tuMsigwa kashaingia anga za Bashite, kalambishwa damu za watu.
Kasome sheria ya usalama wa taifa. Siri ni siri.Kwa anayefahamu, hizo SIRI za NCHI huwa ni mambo ya aina gani?
Swali zuri sana ila ni Siri siwezi kusema siriSitaki utaje siri.
Nataka kujua ni mambo kama yapi, ambayo ni siri?
Huu ni uwezo wako mdogo wa kufikiri unakuongoza kuja na mawazo hayo.Mipango ya kuua na kuwekea sumu Watu, ndio siri za Gerson
Tanzania ina siri gani wakati hapo angani kwenu mmewekewa satellite zinaona hadi mlikozika Watu kwa halaiki?Huu ni uwezo wako mdogo wa kufikiri unakuongoza kuja na mawazo hayo.
Punguza kutumia akili za kwenye movie kwenye real lifeTanzania ina siri gani wakati hapo angani kwenu mmewekewa satellite zinaona hadi mlikozika Watu kwa halaiki?
TZ hakuna SIRIPunguza kutumia akili za kwenye movie kwenye real life
Familia tu zina siri, sembuse nchi ndio ikose siriTZ hakuna SIRI