Elections 2010 Siri za kushinda ubunge Tanzania

Mbunge wa CCM

JF-Expert Member
Nov 13, 2009
475
22
1. Kuwa karibu na wanachi hadi wakuzoee na kukuamini.
2. Ujichanganye na wananchi hadi wakuone ni mwenzao.
3. Utumie kwa uangalifu ushawishi wako na elimu yako hadi ilete mwanga mawazoni mwa wanachi na katika matarajio yao mbalimbali ya maendeleo
4. Jitofautishe na wowote wanaoaminika kuwa wana potentials za kugombea ili wewe uonekane unang'ara zaidi
5. Weka ratiba yako wazi na shughuli zako zote uzifanyazo ziwe wazi
6. Tenga muda wa kukutana na kubadilishana mawazo na makundi yote katika jamii kama wazee, vijana, akina mama nk
7. Onyesha upeo wako halisi juu ya mapinduzi ya kilimo na shughuli nyingine za kiuchumi kwa ujumla; itakupa uzito zaidi kama upeo huo ni sahihi kwa mazingira tuliyonayo
8. Zifahamu vizuri sera za wapinzani wako na uzifafanue vizuri bila husuda kwa wapiga kura wako kabla hujaonyesha wapi zilipo na mapungufu.
9. Jivunie bila haya chama chako na historia yake ya kuongoza mageuzi nchini mwetu. Hapa unapaswa kujivunia hata kama chama chako si maarufu
10. Jenga ushirikiano na wanasiasa wengine wenye ushawishi na wananchi wajue hilo hata kama wako nje ya jimbo lako

Kwa leo niishie hapa, siku nyingine nitawaletea siri zaidi za kuibuka na ushindi katika chaguzi za kidemokrasia

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
11.Uwe na Kamati za ufundi na consultants Witch Doktas from Nigeria,Gambia etc
12.Kikosi kazi madhubuti cha Kuchakachua bila Aibu
13.Usione Tabu kukanyaga watu Vichwa ili uupate Uongozi-By any Means Necessary
 
11.Uwe na Kamati za ufundi na consultants Witch Doktas from Nigeria,Gambia etc
12.Kikosi kazi madhubuti cha Kuchakachua bila Aibu
13.Usione Tabu kukanyaga watu Vichwa ili uupate Uongozi-By any Means Necessary

mhh...... siamini hayo usemayo ndugu.............

lakini mheshimiwa mbunge katusaidia sana wengine japo mnambeza.... hili ni darasa tosha kabisa, nimeona watu wakikosolewa hapa mara nyingi juu ya starategy zao za kugombea, wengine wanaonekana majimboni wakati wa uchaguzi tu, ukiisha wanarudi mjini wawe washndi ama vinginevyo ....... sasa hapa kuna shulle ya bure kabisa, tena toka kwa mheshimiwa realy.......

hongera mheshimiwa..... hope tutagongana mjengoni siku moja............ inshallah............
 
1. Kuwa karibu na wanachi hadi wakuzoee na kukuamini.
2. Ujichanganye na wananchi hadi wakuone ni mwenzao.
3. Utumie kwa uangalifu ushawishi wako na elimu yako hadi ilete mwanga mawazoni mwa wanachi na katika matarajio yao mbalimbali ya maendeleo
4. Jitofautishe na wowote wanaoaminika kuwa wana potentials za kugombea ili wewe uonekane unang'ara zaidi
5. Weka ratiba yako wazi na shughuli zako zote uzifanyazo ziwe wazi
6. Tenga muda wa kukutana na kubadilishana mawazo na makundi yote katika jamii kama wazee, vijana, akina mama nk
7. Onyesha upeo wako halisi juu ya mapinduzi ya kilimo na shughuli nyingine za kiuchumi kwa ujumla; itakupa uzito zaidi kama upeo huo ni sahihi kwa mazingira tuliyonayo
8. Zifahamu vizuri sera za wapinzani wako na uzifafanue vizuri bila husuda kwa wapiga kura wako kabla hujaonyesha wapi zilipo na mapungufu.
9. Jivunie bila haya chama chako na historia yake ya kuongoza mageuzi nchini mwetu. Hapa unapaswa kujivunia hata kama chama chako si maarufu
10. Jenga ushirikiano na wanasiasa wengine wenye ushawishi na wananchi wajue hilo hata kama wako nje ya jimbo lako

Kwa leo niishie hapa, siku nyingine nitawaletea siri zaidi za kuibuka na ushindi katika chaguzi za kidemokrasia

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Vipi kuhusu rushwa kwa kisingizio cha misaada wakati wanabaki tegemezi wa ahadi hewa?
 
1. Kuwa karibu na wanachi hadi wakuzoee na kukuamini.
2. Ujichanganye na wananchi hadi wakuone ni mwenzao.
3. Utumie kwa uangalifu ushawishi wako na elimu yako hadi ilete mwanga mawazoni mwa wanachi na katika matarajio yao mbalimbali ya maendeleo
4. Jitofautishe na wowote wanaoaminika kuwa wana potentials za kugombea ili wewe uonekane unang'ara zaidi
5. Weka ratiba yako wazi na shughuli zako zote uzifanyazo ziwe wazi
6. Tenga muda wa kukutana na kubadilishana mawazo na makundi yote katika jamii kama wazee, vijana, akina mama nk
7. Onyesha upeo wako halisi juu ya mapinduzi ya kilimo na shughuli nyingine za kiuchumi kwa ujumla; itakupa uzito zaidi kama upeo huo ni sahihi kwa mazingira tuliyonayo
8. Zifahamu vizuri sera za wapinzani wako na uzifafanue vizuri bila husuda kwa wapiga kura wako kabla hujaonyesha wapi zilipo na mapungufu.
9. Jivunie bila haya chama chako na historia yake ya kuongoza mageuzi nchini mwetu. Hapa unapaswa kujivunia hata kama chama chako si maarufu
10. Jenga ushirikiano na wanasiasa wengine wenye ushawishi na wananchi wajue hilo hata kama wako nje ya jimbo lako

Kwa leo niishie hapa, siku nyingine nitawaletea siri zaidi za kuibuka na ushindi katika chaguzi za kidemokrasia

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Darasa lako ni powa lakini hilo nililo highlight haliwezekani. Kimeshakuwa Kigumu na kinaelekea kaburini. Heshima yake itarudi mkipata viongozi safi. Kikwete na Makamba si wasafi na hawawezi kukivusha chama mbali na kwamba wataplelekea nchi katika machafuko.
 
huwezi kuiondoa CCM madarakani.. chakufanya jiungeni CCM then mfanye harakati za kubadili sera za CCM ziwe na manufaa kwa wananchi

hakuna kitu kisichowezekana chini ya jua! Hata Roma ilidhani isingeanguka! Hitler alisema watatawala miaka 1,000! Sembuse ccm?
 
toa rushwa wakati wa mchakato wa kura za maoni
nunua shahada za vijana na akina mama unofikiri ni wapinzania ili wasipige kura
waonge wasimamizi wa uchaguzi kama mhe mahanga ili utangazwe hata kama haujashinda
 
Nimesoma Namba 1 na 2 tu
1. Kuwa karibu na wanachi hadi wakuzoee na kukuamini.
2. Ujichanganye na wananchi hadi wakuone ni mwenzao.

Namba moja inaonyesha sikuzote haupo karibu na watu ila unajifanyisha kumbe kunakitu unataka(ubunge), kama kuwalia timing hivi

Namba 2 kumbe kama sio ubunge usingejichanganya

Hatudanganyikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom