Raisi wa hii nchi yuko wapi jamani?
Mimi sijasema kitu,ila tunaongea once atakapowekwa wa majina yanayoanza na nanii kumreplace sabas
inasemekana ni la mzee wa Richmond
Kwa maana ya Lowassa? Nilishasema wapumbavu wote wanasema Jamhuri ni la Lowassa! Weledi wanajua ni la Manyerere na Balile. Nenda Brela kama unabisha! Kuletea habari za uzushi sitaki!
Kampuni zooooooote za Rostam Aziz hakuna hata moja jina lake linaonekana!
Hongereni kwa kumiliki gazeti mkuu!
Kwa maana ya Lowassa? Nilishasema wapumbavu wote wanasema Jamhuri ni la Lowassa! Weledi wanajua ni la Manyerere na Balile. Nenda Brela kama unabisha! Kuletea habari za uzushi sitaki!
Sasa ni wazi kwamba aliyekuwa kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza ameuawa na genge ndani ya Polisi akiwemo Kamanda Polisi anayejulikana kwa jina la Muna, gazeti la Jamhuri limeripoti katika ukurasa wa Mbele kabisa (Nimesoma kwenye website yao Deo Balile akilalamika gazeti kununuliwa kwa jumla na watu wasiojulikana)
Kuvuja kwa siri hiyo kumetokana na mmoja wa jambazi sugu ajulikanaye kwa jina la Edward Malele kujisalimisha ktk vyombo vya ulinzi na kutoa siri zote.
Jambazi huyu aliombwa wa genge ndani ya polisi kushiriki katika mpango wa kumwua kamanda Barlow. Akakataa kwa kuwa aliwahi kumfahamu kwa karibu kamanda Barlow.
Baada ya kukataa kutekeleza agizo hilo baada ya siku chache alishtakiwa kwa kosa la ujambazi na kuswekwa Rumande.
Akiwa huko ndani ya wiki moja alisikia habari za kifo cha kamanda Barlow. Akajua akina na Muna aliowakatalia wamefanya kazi aliyoikataa yeye. Na alijua yuko mahabusu kwa sababu ya kukataa mradi huo.
Baada ya kukaa huko muda mrefu bila shitaka kueleweka wala mshataki wake huko Lupango walimua kumwaichia. Akagoma kutoka kwa sababu anajua kuwa, kwa kuwa amepelekwa huko ili kuficha siri hivyo, akitoka lazima atauawa. Baada ya muda akaamua kukubali kutoka lupango na kukimbilia kituo cha JWTZ huko Mwanza.
Huko JWTZ Alijieleza vya kutosha na wanajeshi walimwonea huruma wakampa Nauli na Tsh 10,000/= ya kula njiani ilie aende Bungeni huku wakiwa wamemkabidhi namba za simu za wabunge 2 wa upinzani ili wamsaidie.
Kutokana na kutokuelewa kwake alipokuwa anashangaa shangaa katika eneo la Bunge, alikamatwa na polisi wanalinda eneo hilo. Polisi hao wakapiga simu Dodoma central na Mwanza. Haraka haraka mwanza wakataka arudishwe mwanza kwa kuwa ni jambazi sugu.
Hata hivyo, kwa katika kurupushani hiyo taarifa zimeshameshamfikia Pinda na Nchimbi ambapo gazeti linaripoti kuwa Pinda ameagiza kijana huyo apewe ulinzi na asirudishwe Mwanza.
Hata hivyo amepelekwa kusiko julikana.
Kwa mapana zaidi soma gazeti la Jamhuri KAMA zinanunuliwa kwa kasi na watu wasiofahamika.
My take;
CCM inaua waandishi na polisi ambao imetofautiana nao. Huo ndio ukweli, watake wasitake. CCM ni janga la kitaifa. na Imeshindwa kuongoza nchi.
From this generation Bilionea.
Ningekuwa Muna ,huu ni utajiri unamnyemelea,shitaki ilo gazeti upate helaKweli hii habari imebamba. 5334 Users following the thread at per.
Kitendo cha kuzinunua copy ili zisifikie wasomaji na kutopatikana kwa site ya gazeti kwa
net ni ushaidi tosha hii habari ni ya kweli la sivyo watuhumiwa wasingetumia nguvu zote hizi
kama ingekuwa ni ya kutunga.
There are currently 5334 users browsing this thread. (148 members and 5186 guests)
- Molemo,
- Patrickn,
- The Invincible,
- Charles Mkubya,
- Gaza and Israel,
- Feedback,
- episodes,
- Junior. Cux,
- neggirl,
- giraffe,
- kalukola,
- mimitungi,
- NYAMALAWA,
- mpalu,
- 123Kape,
- GODLOVEME,
- jonaleemanson,
- Allen Tarimo,
- GIB,
- pilau,
- Kasimba G,
- Lawrence Luanda,
- FKM,
- gofaza,
- kamalaika,
- Mzee Kabwanga,
- tz1,
- chakolo,
- Siamin,
- Samglo,
- LARRYBWAY,
- Mikael P Aweda,
- nyamapesa,
- macho_mdiliko,
- MwanaDiwani,
- Mwansile,
- keulankubha,
- dandabo,
- HGYTXK,
- Natasha Ismail,
- ghwanga,
- Albizo,
- Frekim,
- Mwamajinja,
- Ze dealer,
- Wonder,
- TumainiEl,
- Iron,
- Hamuyu,
- Ntemi Kazwile,
- Dominick Charles,
- Masayi77,
- mukandarasi,
- mimixoxo,
- Mwanantala,
- FULLUMBU,
- Gomibwijo,
- Limbani,
- Kijana leo,
- Godson Makame,
- MikeGolles,
- MTEWELE G.,
- Maduhu2,
- think3r91,
- mcndomba maprosoo,
- LUPPO G,
- Zawadi Ngoda,
- Edo,
- OSOKONI,
- Nsera Ndawani,
- Pukudu,
- mullar,
- cmfkajura90,
- share,
- ammah,
- Mwati,
- Geofrichie,
- RP JOSSO,
- Candid Scope,
- washwa washwa,
- ELIUTH,
- kasanyi,
- fatou46,
- Wisethinker,
- Chris Lukosi,
- Ninaweza,
- Augustine Moshi,
- MotoYaMbongo,
- rmashauri,
- Nelson george,
- Mkare_wenu,
- Kinyerezi,
- ednjou,
- Manumbumichael,
- MONSI WENGA,
- JituParaTupu,
- Jakowili,
- Kitaja,
- kibisavet,
- njellu,
- Fisadidagaa,
- davidson689,
- Venga Boy,
- ozunuh,
- malulu.makubi,
- MAFUTBOL,
- NASSIR HASSAN,
- rama omary,
- Mgope,
- Mathew Elibarick,
- mohamed johari,
- Dennis kiwale,
- Kidatu,
- mcheshi,
- ilonga,
- NSWECKY,
- piper,
- waukae,
- cab dee,
- mangunde,
- pitbull,
- Babu Lao,
- moffee,
- kidE Meshack,
- Mtagwa lindi,
- JEDEM,
- Lj Mwambar,
- ybest,
- BUBU MUONGEAJI,
- Getstart,
- Mbassa,
- bluetooth,
- fidelity,
- Gitifii,
- The Listener,
- Mwera,
- SirBonge,
- Fanto,
- Mnama,
- MAPIKIPIKI,
- denoo49,
- Mwanachi wa Kawaida,
- Bilionea one,
- kitenuly,
- sithole,
- Zogoo da khama,
- People
Huko JWTZ Alijieleza vya kutosha na wanajeshi walimwonea huruma wakampa Tsh 10,000/=
Ningekuwa Muna ,huu ni utajiri unamnyemelea,shitaki ilo gazeti upate hela
Kwa maana ya Lowassa? Nilishasema wapumbavu wote wanasema Jamhuri ni la Lowassa! Weledi wanajua ni la Manyerere na Balile. Nenda Brela kama unabisha! Kuletea habari za uzushi sitaki!
Hongereni sana kama mmeweza kusimama na kuanzisha gazeti lenu. Tunakushukuru pia kwamba umeweka kila kitu clear kwamba wewe na Balile ndio wamiliki.
kweli nimeamini JWTZ ndiyo kimbilio pekee lililobaki
Kuna conspiracy theory moja ilikuwa inaendelea kichinichini kwamba, Marehemu Barlow ndio alikuwa next in line to be IGP. Na wakubwa hawakuwa wanamtaka hivyo ilikuwa inatafuta njia yakumpotezea e.g. kumpa nafasi nyingine, au kumuondoa kabisa uhai wake, au kumkaukia tu pasipo kumpa kifuta machozi. Whether this is true or not, I do not know. Lakini naanza kupata picha halisi kwamba marehemu alikuwa na maadui wengi ndani ya jeshi la polisi, usalama wa taifa, na obsviously nje ya mzunguko huo. I hope it is just a matter of time kila kitu kitakuwa clear.