Mkuu mbona kitu kiko wazi tu hapo au umejiandaa kuja kubisha tuu!!??Huyo Malanyingi Matukuta ndo anayejiita Junior Matukuta na jina lake limetokea kabisa hapo.Inaoinekana Bashe kamchuuza kijana wa watu.
Mtaangaika sana na hakuna siri ya kwenye mitandao ya kijamii zaidi ya mazungumzo na kama mngekuwa mmezifuatilia conservation mngetulia tu.
Huku Safari ya Matumaini inaendelea, watapapalika lakini hawataweza!
kwa nn Lowasa anawatesa!Wamwandalia akutane na Mwenyeviti Chama nchi nzima kuanzia na Mbeya!
I never knew upo humu, pambaneni hadi mwisho hata kama si supporter wenu!!!
Mkuu mbona kitu kiko wazi tu hapo au umejiandaa kuja kubisha tuu!!??Huyo Malanyingi Matukuta ndo anayejiita Junior Matukuta na jina lake limetokea kabisa hapo.Inaoinekana Bashe kamchuuza kijana wa watu.
Mkuu yawezekana ni yeye ama si yeye maana hakuna umakini ktk kusajiri simu. Kuna namba moja nilikuta imebandikwa mahali karibu na usalama Oystebay, kuwa kama wataka kujiunga na freemasons piga namba hiyo. Nikafanya utafiti nikakuta mwenye namba hiyo anaitwa Freemasons January lkn utafit zaidi uligundua kuwa hilo si jina lake halisi. Hivyo hata hilo waweza kukuta si jina lake halisi
nimecheka eti na huyu dogo seif hamis guramali m/kiti wa uvccm tabora ameingia kwenye mkumbo wa mamvi, kweri ccm mizigo
Matukuta Jr nadhani ujumbe wako umewafikia walengwa......kwa maoni yangu timu yenu inauafadhali kuliko timu zote ndani ya chama lenu chovu, tatizo ni kwamba sina imani na yeyote ndani ya CCM.Mtaangaika sana na hakuna siri ya kwenye mitandao ya kijamii zaidi ya mazungumzo na kama mngekuwa mmezifuatilia conservation mngetulia tu.
Huku Safari ya Matumaini inaendelea, watapapalika lakini hawataweza!
Mtaangaika sana na hakuna siri ya kwenye mitandao ya kijamii zaidi ya mazungumzo na kama mngekuwa mmezifuatilia conservation mngetulia tu.
Huku Safari ya Matumaini inaendelea, watapapalika lakini hawataweza!
Wamwandalia akutane na Mwenyeviti Chama nchi nzima kuanzia na Mbeya!
lowassa ni mchafu na anatumia pesa chafu kusaka madaraka
Hiyo namba inasoma ni ya Malanyingi Matukuta message inakwenda kwa Bashe....
Je huyo Malanyingi ndio Bashe?? Na je 0762 047686 ni namba ya Bashe???
Kama Malanyingi sio Bashe na hii sio namba ya Bashe....hiyo meseji ilifikaje kwa Matukuta?.?
Isije kuwa ni sanaa tu inaendelea kunogesha mpambano ndani chama lao!!!!
Acha maCCM wamalizane kwa hila na uzushi. Hiki chama cha majambazi kinaelekea kufa kifo kibaya sana. Mzee Laigwanani amewatia hofu na hawana la kumfanya, chama ni dhaifu na mwenyekiti ni dhaifu.
Yeyote asiye dhaifu amguse Mzee Edward Lowassa
lowassa ni mchafu na anatumia pesa chafu kusaka madaraka