Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Rais gani aliwahi kuingia madarakani kwenye nchi za Africa kwa kutumia pesa zake? Ni either pesa chafu ama pesa za wahisani amabazo mwisho wa siku zinaongeza madeni kwa taifa
Jakaya Kikwete alihongwa hadi SUTI na waarabu, eti ni tailor made suits,,,, kwa mujibu wa Wikileaks