kahama kwetu
Member
- Jan 8, 2013
- 24
- 1
Huu ni upuuzi wala haina maana kuchangia
Kwanza ni group halafu huyo hakuna mtu makin atakayepanga mkakati huo kwenye group ukizingatia na privacy ya group ilivyo naungana na mtu aliyechangia kuwa huyo anaejiita mataka anatafuta sifa tu
Nilitegemea pingine hata akanushe
Narudia huu ni upuuzi na sioni kama kwa critical thinker ni issue ya kujadili
Kwanza ni group halafu huyo hakuna mtu makin atakayepanga mkakati huo kwenye group ukizingatia na privacy ya group ilivyo naungana na mtu aliyechangia kuwa huyo anaejiita mataka anatafuta sifa tu
Nilitegemea pingine hata akanushe
Narudia huu ni upuuzi na sioni kama kwa critical thinker ni issue ya kujadili