hakuna mwanasiasa msafi Tanzania si chadema, ccm, nccr, kafu, dp chauma, etc.... you name it
Ni Kweli Mkuu MSALANI katika Hili la Lowasa tuko Pamoja Huyu Jamaa ana Mvuto wa Kipekee na Sauti ya Kimamlaka. We Friends all Lowasa haturudi Nyuma
Ni Kweli Mkuu MSALANI katika Hili la Lowasa tuko Pamoja Huyu Jamaa ana Mvuto wa Kipekee na Sauti ya Kimamlaka. We Friends all Lowasa haturudi Nyuma
Oyooooooo Team Lowasa Songa.....
Lowasa songa mbele wao si wameamua kukutangazia nia bwana. Tuko nyuma yakooo mkombozi wa mtz. Uje umalizie miradi yako uliyoiacha ukiwa PM
Wewe matukuta tapeli mkubwa, ulikuwa unamuandikia Bashe ujumbe ili akutumie ya vocha? Ndio maana ulifeli shule. Naanza kupata hofu kuwa huenda EL hawezi kufika mbali iwapo ataendekeza mikakati hii ya kuwatumia wachumia matumbo kama Matukuta. Foolish guySijawahi kuwa na ID 2 hapa JF na ndo maana natumia jina langu Kamili.
Sina mpango wa kujipendekeza na ndo msimamo wang Daima.
Pia sijawahi kumchafua mtu zaidi ya ushawishi wa EL katika kuleta Maendelea hapa TZ na Imani yangu kubwa kwake.
Narudia tena kwenye Social Media zaidia ya Mazungumzo na ukiona huyu mtu ni mnafiki angeleta Mtiririrko mzima wa page hiyo na kuona kwa mapana zaidi namfahamu ni MBWA MWITU ALIYEJIVIKA NGOZI YA KONDOO KATIKATI YA KONDOO HALISI akizania atakula Nyasi........ALUTA CONTINUA!
Kama walifanikiwa kumuingiza JK kwa staili hiyo itashindikana vipi kwa EL wakati wana ujuzi na rasilimali zaidi ya ilivyokuwa 2005?wamefulia hawa, watafanya sana vikao lakini hawatafanikiwa
Kama walifanikiwa kumuingiza JK kwa staili hiyo itashindikana vipi kwa EL wakati wana ujuzi na rasilimali zaidi ya ilivyokuwa 2005?