Siri za CHADEMA zafichuka kuhusu UKAWA

Siri za CHADEMA zafichuka kuhusu UKAWA

Mkamba Mmasai

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2015
Posts
384
Reaction score
65
[h=3]
12115869_523468917817602_1870156497037115031_n.jpg
[/h]
11226554_523469044484256_2915631965749246479_n.jpg
 
Chacha hiyo ni siri gani, hizi peremende zinawaumbua sasa huwezi kumuamini muuza malaya Bilicanas akuchagulie rais ni uendawazimu.
 
Kwa hiyo? Kwani unafikiri kati ya chadema na hivyo vyama vingine vinavyounda UKAWA nani anambeba mwenzie. CUF, NLD na NCCR vyote vinatembelea upepo wa chadema....
 
Tutajuaje kama barua hiyoimeandikwna cdm? endeleeni kutunga uongo wenu pumba tunazipembua
 
Jamani ndo maana Rais LOWASA anasisitizia ELIMU ELIMU ELIMU. Ivi nyie ccm hata kudanganya hamjui mje tuwafundishe kama hata uandikaji barua ndo huu khaa...hujui mwanzo wala mwisho wa barua kazi mnayo...
 
Ukawa ni jeshi kubwa sana lipo kila kona it masaki mmeshindwa kazi waruhusuni wakenya waondoke
 
Badilisheni hapo kwenye wakilisha wekeni wasilisha......
Any way this is another rubbish from IT masaki
 
Mpuuzwe tu kwani mmechanganyikiwa mnapoona chama chenu kinazama kwenye matope na kuichia serikali.
Mtatunga sana lakini 25 October mnaenda nje tu.
 
Kuna tatizo gani na hilo ? Je. wewe familia yako inafahamu kila jambo unalofanya. Kuna kitu kinaitwa utengano sambamba hilo liko wazi, sio lazima rafiki yako afahamu siri zako zote.
 
Ndio sababu tunasema UKAWA ni wahuni KABISA.bodaboda wameshapewa migao ya kulinda kura na kupeperusha bendera.NIPASHE waone TAARIFA hii
 
Mabadiliko Lowassa
Lowassa Mabadiliko
Ccm Imechoka Tuitoe By Magufuli.
 
Red brigade wanazidi kwenda ccm.siri zote nje nje.kulinda kura kuna posho.ndio sababu mchecheto mkubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom