Salim Mwalimu
Hao wachagga hawana kheri, watakutumia kama wavyomtumia Zitto, Slaa na wengineo kisha kukutupa na kukuita fisadi.
Kumbuka hilo.
Kwa kikurya tunaita out of phase, wanarudia mbinu zile zile za enzi ya Mrema hawajui tuko enzi za dot.com.IT masaki mko nje ya muda.
NIPASHE hawana muda mchafu wa kuokoteleza vihabari vya mitaroni pelekeni Jamba Leo.Ndio sababu tunasema UKAWA ni wahuni KABISA.bodaboda wameshapewa migao ya kulinda kura na kupeperusha bendera.NIPASHE waone TAARIFA hii
Mabadiliko Lowassa
Lowassa Mabadiliko
Ccm Imechoka Tuitoe By Magufuli.
Badilisheni hapo kwenye wakilisha wekeni wasilisha......
Any way this is another rubbish from IT masaki
Ukiona Gwajima amekaa kimya ujue dili limeshaoza maana yule ndiye mbeba maono ya UKAWA. Ngoja nikanyoshe suti yangu ya sherehe ya kumwapisha Magufuli.
CHADEMA Yaani mpaka kufika oktoba 25 watabaki watu wachache sana maana watu wanakimbia kila siku ,kwakuwa wamekumbatia rusha kwa sasa...
umevurugwa na barua yako feki
ungezungumzia udini lakini kwa kuwa umemtaja slaa hakuna namna uje kwenye ukabilaSalim Mwalimu
Hao wachagga hawana kheri, watakutumia kama walivyomtumia Zitto, Slaa na wengineo kisha kukutupa na kukuita msaliti.
Kumbuka hilo.