Siri za CHADEMA zafichuka kuhusu UKAWA

Siri za CHADEMA zafichuka kuhusu UKAWA

Haya kila mwamba ngozi huvutia kwake ila tarehe 25/10/2015 ndo itakuwa mwisho wa yote wako watakao pata huzuni wako watakao shangilia ee Mola ibariki Tz
 
Et wametengeneza kama zile zao alaf walivyo wapuuzi wamepiga chata siri kitu ambacho chadema utaratibu huo hawana
 
Kijana wangu wa niliyempa bodaboda aliniambia nimruhusu aweke bendera ya cdm eventhoug yeye ni ccm damu alisema ukiweka ile bendera kwa siku unalamba lita mbili bure
 
Kwanza nimeshangaa wameandika salim mwalimu wakati yule anaitwa salum mwalimu, mungu amfichi mnafiki
 
hahaahh sisiemu wamechanganyikiwa,pumzi imekata sasa roho inatoka wanatapatapa.rip ccm
 
Salim Mwalimu

Hao wachagga hawana kheri, watakutumia kama walivyomtumia Zitto, Slaa na wengineo kisha kukutupa na kukuita msaliti.

Kumbuka hilo.
Naona kitengo cha IT masaki kazi yake siku hizi ni kughushi maandishi
Rais ni lowassa,propoganda zenu hazina mashiko.
Leo manzese wajumbe wenu wanapita kutangaza sh2000 kwa atakàyehudhuria mkutano wa magufuli
 
Naona kitengo cha IT masaki kazi yake siku hizi ni kughushi maandishi
Rais ni lowassa,propoganda zenu hazina mashiko.
Leo manzese wajumbe wenu wanapita kutangaza sh2000 kwa atakàyehudhuria mkutano wa magufuli
Acha wongo.unajifanya mjuaji lakini bure
 
Pipoooooz power! Gege la walanguz chadema ila ccm ni soko la walaguziiiiiiiii
 
12115712_451328841735342_9027924494541944449_n.jpg

Wote na nani sema "chaguo lako"
 
Mkuu Wacha1, kumbe wewe gamba! Salama lakini?

Mimi Mtanzania nina haki ya kuwa na maamuzi yangu hapo ulipo umekaa kwa starehe ya Magambazzzzzzzzzzzzzzzzz khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee endelea kumwamini Mbowe moja ya malofa wakuu aliyekuuzia mbuzi kwenye gunia.
 
ndo maana naona boda boda wamepewa bendera???!!! kumbe washakula chao..kura kwa magufuli basi
 
Naona kitengo cha IT masaki kazi yake siku hizi ni kughushi maandishi
Rais ni lowassa,propoganda zenu hazina mashiko.
Leo manzese wajumbe wenu wanapita kutangaza sh2000 kwa atakàyehudhuria mkutano wa magufuli
BONGOLALA nnaona sasa si bongo tu, hata mwili wako umelala kama babu teja!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom