Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,851
Imeandaliwa kuwa Tarehe 24 kuamkia 25 mwezi huu chombo kimoja cha habari chenye maskani yake huko Kanda ya ziwa kitatangaza kuwa Lowassa Amejitoa kwenye kugombea, habari hiyo itaambatana na kusambazwa kwa habari kama hiyo hiyo kwenye mitandao ya kijamii kama Jamii forums, facebook, na whatsupp na Twitter, Tayari mmiliki huyo amekubali kuwajibishwa na TCRA kwa kutoa habari hiyo ya upotoshaji kwa umma, kifupi amekubali kubeba "Risk" ili kukibeba chama chake na mgombea wake.
kadharika, mpango mwingine ambao hauna nguvu ila umeanza kusambazwa katka mitandao ya kijamii, ni "waraka" feki unaodaiwa kuandikwa na chadema kwenda kwa makatibu wa cha wilayani eti..."Wasitoe siri kwa wenzao wa Ukawa"
kadharika, mpango mwingine ambao hauna nguvu ila umeanza kusambazwa katka mitandao ya kijamii, ni "waraka" feki unaodaiwa kuandikwa na chadema kwenda kwa makatibu wa cha wilayani eti..."Wasitoe siri kwa wenzao wa Ukawa"