Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
eti gogo la kucharangia kyakyakyaaa ila si uungwana halafu huduma za hayo maofisi ya uma pamoja na kutafuna kodi zetu ni mbovu dunia yakatikati yaani unahangaishwa mpaka akili inachoka aiseeKuna watu hawana huruma na wananchi wenzao kama fisi vile ukiwakabidhi bucha watakula mpaka lile gogo la kucharangia.