Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
TUNAJUA SANAKumbe umalijua hilo Mkuu? Ana kijiji huyu jamaa.
TUNAJUA SANAKumbe umalijua hilo Mkuu? Ana kijiji huyu jamaa.
Tena nasikia kuna oda maalum ya udongo na ndimu toka supermarket kila wiki inapelekwa na bajaj

Kimeshanuka wataishia kukukopa
hahaha ofisi IPI. Yaani hao nida walishanikera mpaka basi.jela inawahusu mi nilishajua mwisho wa mradi huu ni jail.... tangu ulipoanza
na wafanyakazi wanakula shushu wana mimba karibia ofisi yote hahahahahaha hawana kazi ni kutiana mimba
Hahahahahahhhjela inawahusu mi nilishajua mwisho wa mradi huu ni jail.... tangu ulipoanza
na wafanyakazi wanakula shushu wana mimba karibia ofisi yote hahahahahaha hawana kazi ni kutiana mimba
Huo ni UONGO, majungu na fitna. Kabla ya kuandika pata uhakika usiandike kwa USHABIKIhuyu jamaa pale mikocheni makao makuu ya NIDA amewapangishia jengo lake halafu kanunua mtaa mzima hapo mikocheni na nimesikia ana majumba mengi
Aisee! kumbe hawa wafanyakazi kutwangana mimba nilidhani ni mikoani tu! kumbe hadi makao yao makuu!.Asalaaale! huko mikoani wengine hata ndoa zao zimeshavunjika kwa kutafunana wenyewe kwa wenyewe.jela inawahusu mi nilishajua mwisho wa mradi huu ni jail.... tangu ulipoanza
na wafanyakazi wanakula shushu wana mimba karibia ofisi yote hahahahahaha hawana kazi ni kutiana mimba
HII NDO TANZANIA BABAAKE WALIOWEKA MAPESA USWISS SIO MAFISADI ILA KUNA WEZI WA KUKU NDO MAFISADIHizi taarifa nusu nusu hua zina niudhi sana aiseee......
Hivi huyo sijui nani..nani aliesema wamekutwa na mali nyingi kutokana na uchunguzi.
Kwanini asikamilishe kututajia hizo mali nyingi ili nasi wadanganyika tujiridhishe?
Kwani kulikua na umuhimu gani wa kutueleza mali nyingi pasipo kututajia hizo mali zenyewe?
Alafu.......
Swala la mtu kua na mali nyingi, inategemeana na mtazamo wa muhusika mwenyewe.
Mimi ukiniambia mali nyingi nitasema kuanzia thamani ya milioni100, Wakati Chenge anaona Bilioni 1 sio malinyingi
Hatuitaji katiba kwa sasa ngoja tusawazishe mabonde yaliyojaa nchini. Katiba itasaidia nini ? tutengeneze kwanza nidhamu ya nchi hayo mengine yatafuata.Mimi nashangaa kuna Jipu kubwa sana juu ya KATIBA MPYA kwani kama suala ni fedha nyingi zimetumika lakini ufanisi wake ni mdogo au hakuna kabisa vipi kuhusu KATIBA MPYA? kwani zimetumika fedha nyingi lakini katiba hakuna na huku huyo mtumbua majipu akikaa kimya ni vema akatuambia juu ya hili na atumbue jipu hili.
Sio hivyo tu mkuu, ilitakiwa RITA, NIDA, na vitambulisho vya Taifa kuunganishwa kwa pamoja. Hizi ofisi zina Kazi zinazoshabihiana sana. Ngoja niandike proposal kuhusu hiyo kitu nami nile mpungaHizi taasisi nyingine zilikuwa za ulaji tu, RITA na NIDA zingeunganishwa ipatikane taa sisi moja tu, haya majipu yanakomaa kwa kuwa pesa nyingi kazi hakuna zinazofanyika hapo NIDA.
Duu ila kama kalikuwa kanakutoa haina noma.....
......kweli Mkuu kuna ka tetere kangu huko ka zamani kameanza kunibipu kataisoma namba !!!
BWana Maimu ana kijiji kizima pale nyuma ya Shoppers Plaza ambapo pia amejenga ukumbi wa muziki wa kisasa kabisa. Huyu ni mjasiriamali kweli kweli.huyu jamaa pale mikocheni makao makuu ya NIDA amewapangishia jengo lake halafu kanunua mtaa mzima hapo mikocheni na nimesikia ana majumba mengi
Kitakuwa mali ya Jamhuri ya Tanganyika hichoBWana Maimu ana kijiji kizima pale nyuma ya Shoppers Plaza ambapo pia amejenga ukumbi wa muziki wa kisasa kabisa. Huyu ni mjasiriamali kweli kweli.
Unajisumbua ndugu yangu maana kuna ripoti kadhaa zimepata kupendekeza hivyo lakini zilipigwa chini kwani huu mradi tangu ulipoasisiwa ulikuwa na harufu ya ulaji. Hebu fikiria kuwa Bwana Maimu alikuwa mmoja wa wataalamu washauri wa mradi wakati bado akiwa mfanyakazi wa Umma pale Idara Kuu ya Utumishi kisha akaja kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NIDA. Unapiga kona unakuja kufunga mwenyewe. Angalia namba 3, 4 na 5 Kiambatanisho cha Fesaibility Study ya NIDA ya mwaka 2006.Sio hivyo tu mkuu, ilitakiwa RITA, NIDA, na vitambulisho vya Taifa kuunganishwa kwa pamoja. Hizi ofisi zina Kazi zinazoshabihiana sana. Ngoja niandike proposal kuhusu hiyo kitu nami nile mpunga
Hebu tiririka hapa hapa ili wengine wajue au ianzishie thread kwanza.Uso wa nyoka asisahau kule Ngorongoro jipu linpakwa mafuta nimeiva sana litatumbuka wakati wowote Uso wa nyoka kuna sehemu nyingine yakutumbua inafanana na ngorongoro?
Na kuhonga wahudumu wa baa zilizo karibu na NIDAjela inawahusu mi nilishajua mwisho wa mradi huu ni jail.... tangu ulipoanza
na wafanyakazi wanakula shushu wana mimba karibia ofisi yote hahahahahaha hawana kazi ni kutiana mimba