Siri ya Mwenge wa Uhuru

Watu hajui kuna usiri gani wakati wa kuongeza mafuta ya mwenge ziarani na kilitokeaga nin wakati mwenge unazimika unexpectedly.

Mnajua historia na mwisho wa wakimbiza mwenge???

Ile ni ibada kamili ya mashetani.
 
soma report hii Yeremia 22:18-19' ;kwakuutetea mwenge mungu mto wa wafilist na magrikia,utakufa kifo kibaya hutaliliwa hat na nduguzo,wakisema aa ndugu yaangu,aa dada yangu,wala hawatasema aa bwana wangu;aa utufu wake,utazikwa kwakuburuzwa kama punda na kutpwa nje ya ufalme wa Mungu;Yerusalemu,pole ng'ang'ania kutetea miungu isyoumba mingu na nchi,
 
anayesema rombo haijalaaniwa anakili mgano,kukosa LIBIDO kwa wanaume kwasababu ya ulevi ni ushahidi tosha kuwa rombo imelaaniwa,ndo ujue mtu akilaaniwa huwa hajijui kuwa amelaaniwa,na hata akijulishwa hupinga kama anavyopinga MBUNGE wao,habari ya wanaume kukosa libido kwa sababu ya ulevi ambao unatajwa kuwa ni dhambi, soma ripoti Isaya5:11,1Korinho6:9-10,
 
Mimi naongelea concept ya mwenge sio kama jamaa anavyo wandanganya watu mchana kweupe kuwa ni ibaada ya mashetani. Inamaana Watanzania ni mashetani?

Yuko sahihi!
.kwanza unaelewa maana ya ibada?
Sio kubisha tu!?
 

Shaka ondoa,tushaomba toba
 
Mojawapo ya mambo ya awali kabisa (siku 100) za raisi ajaye ni kusitisha hii dhambi inayotupa laana ya kukimbiza mwenge.
Naamini kuwa raisi ajaye atakuwa ni mcha Mungu,hivyo mwenge utakuwa historia.
 
Eti mwenge umesaidia/umefungua kuleta zahanati, maji safi n.k..
Sasa kazi ya wizara husika na bajet zake kila mwaka iko wapi!??
Alafu mwenge uko wizara gani ili tujue bajet yake kamiliπŸ˜•
 

Huo ndo ukweli!

Ni ibada za kishetani!!
 

Na hizo ndo ibada zenyewe!!!
 
mimi niliwahi kumuuliza baba nikiwa mdgo ya maana ya mwenge na faida zake,, nikaambulia kofi kali la mdomo na kuniambia unataka tufungwe!! nikashangaa tufungwe??!!!

Hahaaaaa
Yaaani nimecheka jamani.
Pole sana
 

Pitia huu Uzi kuna kitu utajifinza!

Google uone original yake ndo utajua ni jinsi gani watu wanaabudu mizimu
 

Mwenge upi huo unaomulika wanyonyaji (msfisadi)?? Tutajie mnyonyaji japo mmoja tu aliemulikwa na huu mwenge.

Hivi wajua kua kunakopita huu mwenge maasi ya ngono yanafanyika sana kwa wageni na/au wenyeji?

Na kama wengine hawautaki huu mwenge, huo mshikamano unaoletwa ni upi? Si ajabu ndio maana Watanzania tupotupo tu hatueleweki hata tupoje tumekaa kizoba zoba tu tunaibiwa kila siku sababu ya ibada tusizozijua kama hizi za mwenge
 
Mwanzo umeanza vizuri lakini huko mwisho umetutukana kwa lugha ya ki-shetani na wewe sasa tunajua ni walewale tu wachawi wakubwa wa nchi yetu.
 
Pitia huu Uzi kuna kitu utajifinza!

Google uone original yake ndo utajua ni jinsi gani watu wanaabudu mizimu

Hata ukristo ibada zote mnazofanya zina asili ya kuabudu ushirikina mtupu, tena ni copy and paste ya asili ya dini ya mithra ya kishirikina tupu! so acheni kujifanya eti mwenge ni ushirikina wakati mnajua fika asili ya pasaka, xmass, misa zenu na yale mamishumaa ni full ushirikina. acha kuuponda mwenge wakati huijui asili ya ibada yako
 

Pole we na hao wakristo mnaoabudu sikukuu nk

Wakristo tuliojielewa tunaabudu halisi kwa sababu Mungu ni roho na tunaomwabudu yatupasa tumwabudu katika roho na kweli!
Upo mpaka hapo?sasa kazi kwenu msiojitambua ambao bado mnaabudu siku,sijui sikukuuu nk.
Narudia tena,mwenge ni ibada ya kshetani, hutaki pita hivi!

Hata maana ya ibada hamuelewi kazi kufuata mkumbo bila kufikiri nje ya box
 
Du hii kali.mm kuna bro wangu anakimbiza mwenge mwaka huu na juzi nilienda kumuona ilala na kapata zawadi nyingi sana ,sasa namsubiri arudi lazima nimuulize kuhusu uhalisia wa mwenge.
 
Kuhusu mwenge Mimi naamin kinachosemwa kwamba mwenge huambatana na ibada za kishetan.
Sina uhakika sana kama kika mwenge uendako ibada hizi hufanyika....
Lakin nikiwa kidato sha sita katika shule moja hapa nchini... Nilikuwa kiongozi mtiifu na mwaminifu swala ambalo lilinifanya kuaminiwa na mwalimu wa malezi shuleni hapo...
Siku ya mbio za mwenge wilayan kwetu kituo cha mbio za mwenge kilikuwa shuleni kwetu.. Siku hiyo niliona maajabu ambayo ntaendelea kuyakumbuka Mimi na nafsi yangu....
Kama umewahi kushuhudia utaelewa naamanisha mini...
Kama kawaida mwenge unapowasili kila kituo chake lazima upelekwe kwenye CHUMBA MAALUMU KILICHOANDALIWA
huko ndiko niliweza kuona kile nilichoona mie. Baada ya mwenge kupokelewa hapo shulen kwetu ulipelekwa chumban huko sijui uliingia na akina nani...
Lakin baada ya mwenge kuondoka chumba kilifungwa na na funguo hizo alikuwa Nazi mwalimu wangu wa malezi... Siku io mida ya masomo ya jioni (preparations) niliitwa na mwalim wa malezi nikapewa funguo nikaambiwa niende kusafisha kile chumba peke yangu na ntakachokiona nisimwambie mtu. Na kiukweli daaaaaah..
πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜³
Anaweza kuamin nnachokiongea aliyewahi kuingia kwenye chumba maalum cha mwenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…