Siri ya Mwenge wa Uhuru

Wakati umefika Mwengu upelekwe pale jirani na IFM.
Hatuwezi kutumia pesa zetu kwa useless work like this!
 
Mwenge huu ambao ulitakiwa uwe ishara ya kuunganisha Watanzania wote, sasa hauna maana tena kwani ni chombo kinachotumiwa na ccm kiaina kujitangaza. Tungependa kujua wanaokimbiza huo mwenge wanachaguliwa vipi na ni mada zipi wanazoziongelea huko mikoani wanakokwenda.
 
Kwanini uwe mjinga? Kwanini usitumie akili? Kwanini ufikirie kuwa kunamashetani?
Mwenge wa Uhuru haunaconnection na imani ya aina yote.
Halafu baadae utasema kumpigia saluti raisi ni kumuabudu.
Dhana ya mwenge wa uhuru ni kuwamulika wanyonyaji wote na kuleta mshikamano.
Hivi umezaliwa mwaka gani vile?
Ondoa imani potofu ndani ya akili zako.
Kwani wazee kuchinja mbuzi au kondoo ndio kuabudi mashetani?
Hiyo ni ishara ya furaha na Mlima kilimanjaro ndio mrefu kuliko yote Africa.

Sijawahi kusoma ujinga na pointless kama uliyoandika tangu nijiunge JF. "nn maana y mwenge kumulikia wanyonge? Jipange
 
Mwenge huu ambao ulitakiwa uwe ishara ya kuunganisha Watanzania wote, sasa hauna maana tena kwani ni chombo kinachotumiwa na ccm kiaina kujitangaza. Tungependa kujua wanaokimbiza huo mwenge wanachaguliwa vipi na ni mada zipi wanazoziongelea huko mikoani wanakokwenda.
Purpose ya Mwenge kulingana na uanzilishi wake imefikia kikomo. Kama Kuunganisha Watanzania ni kwa kuwapatia maisha bora na kuwafanya wajisikie kwao. Kuondoa chuki na wanachuki na kulinda katiba.
Kifupi mwenge unapaswa kuwa Makumbusho.

Hizo pesa za kuukimbiza mwenge wapewe watoto yatima ziwasaidie kusoma na maisha mengine, period!
 

Mwenge huu ni wa kuupiga vita. Unaleta laana zaidi ya baraka. Unatubakisha kama nchi kwenye kuabudu mizimu badala ya kusonga mbele kimaendeleo.

Laana za Mwenge huu ndizo zinazotufanya tusieendelee. Ni muda sasa wa kuachana na imani hizi za kishirikina kwa kuachana na Mwenge huu.
Hizo habari ya kuwa huu mwenge autufai na wakishirikina mnazo wewe na huyo mzee malamsha, sisi wengine tuna ona there not enough act of Patriotism in the nation.

Ni kweli inavyoonekana mwenge unakosa mvuto siku hadi siku haya yote ni kwakuwa vijana wengi hawaelewi hili kuweza uambatanisha mwenge na ujasiri, ukakamavu nakujitoa kwenye pingu za ukoloni kama taifa. mwenge umekuwa ukiwashwa kila siku without the explanation of the ritual (hata kama kweli kama unavyodai unatambikia viongozi in my opinion that jazzes up the point in good way).

Mwenge unawashwa tu, kungekuwa na vipindi vya documentaries ambavyo vinaelezea struggles ambazo viongozi walikutana nazo pengine wengine tungejua kati ya kina Mohammedi saidi na kina Mwanakijiji nani anaongeza chumvi kwenye ukombozi wa taifa, articles to emphasis on the proud moment during their struggles and all to do with making mwenge interesting.

lakini kwa hali ya sasa huu mwenge umekosa umuhimu kama watanzania walivyokosa uzalendo tu.
 
Hauna jipya zaidi ya kuabudu mashetani. Kuna taarifa rasmi kuwa Mwenge huo unapofika Rombo-Kilimanjaro hufanyiwa tambiko mablimbali ili kulinda viongozi wa nchi.

Taarifa zinaonesha kuwa kuna Wazee maalum wameandaliwa kule Rombo kwa ajili ya matambiko haya kila mwaka.Mmoja wa wazee hao aitwaye Mzee Malamsha amenithibitishia hicho.

Kwenye matambiko hayo,kafara hutolewa.Na kadhalika na kadhalika.Ndio maana,kila mwaka Mwenge wa Uhuru lazima ukimbizwe Mkoa wa Kilimanjaro na kufika Wilaya ya Rombo.

Mwenge huu ni wa kuupiga vita. Unaleta laana zaidi ya baraka. Unatubakisha kama nchi kwenye kuabudu mizimu badala ya kusonga mbele kimaendeleo.

Laana za Mwenge huu ndizo zinazotufanya tusieendelee. Ni muda sasa wa kuachana na imani hizi za kishirikina kwa kuachana na Mwenge huu.

Wale jamaa zetu siku hizi wanatumia magari aina ya Nissan private No.Huwa wanaichukua hiyo tochi wanaenda nayo chemba kuibadirisha tambi na kuongeza wese,infact mmoja wao ni shemeji yangu alishawahi kuniambaiaga kuwa katika ile tochi kuna siri kubwa sana ya kiuchawi na mizimu iliyoachwa na........ aliniambia kuwa siku tukiupuuza ndiyo itakuwa mwisho wa SISIEMU,
Mimi ndiye bwana mungu wako usiabudu miuungu wengine. Je tochi ile ni sanamu,muzimu,nyoka wa shaba,au Msukule?????????????????????????????????????????????????
 
Mi niliacha zamani kushabikia haya mambo ya kipuuzi na ushirikina, leo hii uniambie mwenge unawapa matumaini wafiwa (mfano wa Gongo la mboto) hali mimi najua Mungu pekee ndiye mfariji wangu lol...crazy bussiness.What is wrong when we open up new public buildings of hospitals, schools,roads/bridges without extending illogical public expenditure by the so called nation torch (mwenge)? Sunlight and moonlight are not sufficient?
 
Mi niliacha zamani kushabikia haya mambo ya kipuuzi na ushirikina, leo hii uniambie mwenge unawapa matumaini wafiwa (mfano wa Gongo la mboto) hali mimi najua Mungu pekee ndiye mfariji wangu lol...crazy bussiness.What is wrong when we open up new public buildings of hospitals, schools,roads/bridges without extending illogical public expenditure by the so called nation torch (mwenge)? Sunlight and moonlight are not sufficient?
Hao hao waliokufa kuna watu wamewachangia kwenye misiba au kuwatolea damu waliopelekwa mahosptialini. Kila mtu anahitaji maendeleo lakini lazima tujikumbushe utaifa wetu now and then. Maana wanaochangia misiba na harusi si wote ni ndugu bali ni katika hali ya ujirani mwema. Tunahitaji rituals ambazo zinashirikisha jamii at the fore front na si sikukuu za muungano na uhuru tu pekee ambazo ni kama za kum-parade Mr President na walinzi wake.

Kitu pekee chenye kuwafikia watanzania ni mwenge, kwanza siku ya kuwasha mwenge ilitakiwa kuwa ni national day, wafute sikukuu moja ambayo aina ulazima zipo nyingi sana. Lakini mwenge ni ishara ya mshikamano wetu kama wa-Tanzania na kusimama pamoja kama taifa, tatizo very little is done on the importance of our togetherness.
 
Hizo habari ya kuwa huu mwenge autufai na wakishirikina mnazo wewe na huyo mzee malamsha, sisi wengine tuna ona there not enough act of Patriotism in the nation.
.
Walewale wa JKT inaleta uzalendo!
Uzalendo unakuja pale nchi inapoongozwa kwa haki na misingi ya sheria. Pale wananchi wanapopewa vipaumbele zaidi ya wageni. Pale raslimali zinaponufaisha wananchi na si wageni.

Mpaka itakapofikia wananchi kuwa na imani na viongozi wao na kuuvua unyonge wa kujiona watumwa katika nchi ya Baba zao uzalendo itakuwa hadithi tu!
 
Huenda huyu mleta Mada mshirikina sana Au Ana imani na uchawi sana kiasi hawezi kuwaza nje ya ushetani tuu. Hata hivyo nawaachia imani zenu coz mtu anaweza kuamini atafika ulaya kwa ndege bila passport Au kusafiri na ungo!!!
 
Walewale wa JKT inaleta uzalendo!
JKT inaweza ikawa inaleta uzalendo kwa walioshiriki, na hatuwezi pima the extent of that uzalendo maana viongozi wengi wamepitia huko na hali ya uzalendo hawana. Hila mpaka hapo vita itakapokuja tutaweza elewa matunda ya JKT, well that's if the reserve army will be willing to run into the front line easily should they be required to do so.
Uzalendo unakuja pale nchi inapoongozwa kwa haki na misingi ya sheria. Pale wananchi wanapopewa vipaumbele zaidi ya wageni. Pale raslimali zinaponufaisha wananchi na si wageni.

Tujiulize tumefikaje hapo hadi wageni kupewa kipaumble zidi ya wenyeji, si ndipo inapo onyesha mioyo yetu kwenye uzalendo ilivyo hafifu. Na wewe una assume people will change that without encouragement of national patriotism maana sielewi na ndio maana uoni sababu za kuamsha hisia za uzalendo.

Mpaka itakapofikia wananchi kuwa na imani na viongozi wao na kuuvua unyonge wa kujiona watumwa katika nchi ya Baba zao uzalendo itakuwa hadithi tu!
Huko Japan na Marekani wote ni matajiri na serikali zao zinajaribu kutoa enough handouts to their ppl, they both have good economies; nevertheless their patriotism differ.

Japanese do not hesitate to help their government with money inorder to fund other projects knowing the beneficiaries will be other Japanese whereby by In America your mad to tell someone to lend to the government.

Bado hapo wajapan through their national propaganda a high percentage of their population if not all are willing to sacrifice their lives in the interest of the nation, i dont think americans or europeans can claim that even with their good economies (point good economies do not translate into patriotism).

Africans lack a sense of identification no wonder they are easily lured with other cultures and life styles because they got nothing they see worth protecting or be proud of.

Usidhani wenzenu wanatengeneza sinema za vita ambavyo vilitokea kabla hata wao hawajifikiriwa kuingia dunia hii, just for entertainment and educational purposes, along the way they know they will build a sense of belonging to their audience.

Nyie mwenge ndio kwanza mchanga tayari mnaouona auna maana tena.
 
Back
Top Bottom