zinasambaza ukimwi na kuleta watoto wasio na wazazi wote.
zinasambaza ukimwi na kuleta watoto wasio na wazazi wote.
wachangiaje acheni ushabiki wa vyama ongeeni fact mkiwa kama GT. kama huji kitu ni afadhali kuuliza ufahamishwe. mwenge kila mwaka azima uzunguk mikoa yote na wilaya zotebia kubagua. sasa iweje useme lazima upite rombo utambikiwe? wewe umeshaenda wilaya zingine ukaona wanafanyaje. Fanya uchunguzi sio kuleta ushabiki wa vyama vya siasa. Kama hujui kaa kimya.
mimi nawashangaa watanzani mnatamani kuua kila kilicho chenu sijui mtabaki na nini kinachotuunganisha kama taifa
mwenge mnataka hata kesho itangazwe mbio za mwenge zimepigwa stooop for good
mchakamchaka shuleni mmesha futa na kutokomeza kabisaa!
Muungano ndio huo mnapiga kelele usiku kucha mnatamani uvunjike hata leo jioni!
Jkt mnataka waende vijana wakujitolea na wasomi wasiguswe.
Mtaua kila kitu chenu mwisho mbaki kama taifa lisilo na identity yake.mwisho mtataka na shule mzifute sijui mtabaki na nini. Chanzo cha umasikini wetu ni kutojituma kazini na matumizi mabaya ya mali.watanzania kila mtu anataka ku win maisha hata bila kufanyakazi! Akipata kazi atakunywa pombe 24 hours seven days a week.sasa mtu akikuuliza huo mwenge wewe umewahi kuchangia hata cent tano? Jitume, fanyakazi,acha kulalamikia vitu ambavyo siyo sababu ya umasikini wa kipato.
hauna jipya zaidi ya kuabudu mashetani. Kuna taarifa rasmi kuwa mwenge huo unapofika rombo-kilimanjaro hufanyiwa tambiko mbalimbali ili kulinda viongozi wa nchi.
Taarifa zinaonesha kuwa kuna wazee maalum wameandaliwa kule rombo kwa ajili ya matambiko haya kila mwaka.mmoja wa wazee hao aitwaye mzee malamsha amenithibitishia hicho.
Kwenye matambiko hayo,kafara hutolewa.na kadhalika na kadhalika.ndio maana,kila mwaka mwenge wa uhuru lazima ukimbizwe mkoa wa kilimanjaro na kufika wilaya ya rombo.
Mwenge huu ni wa kuupiga vita. Unaleta laana zaidi ya baraka. Unatubakisha kama nchi kwenye kuabudu mizimu badala ya kusonga mbele kimaendeleo.
Laana za mwenge huu ndizo zinazotufanya tusieendelee. Ni muda sasa wa kuachana na imani hizi za kishirikina kwa kuachana na mwenge huu.
Kama kweli huyo babako hafai
salaam wakuu,
leo hapa maeneo ya mlandizi tunategemea mwenge upite na uzinduliwaji wa miradi kadhaa ya maendeleo. nimesikia myths nyingi kuhusu mwenge kama vile hauzimiki mpaka ufikie destination point na pia ikitokea bahat mbaya umezima basi wahusika hujificha kwenye chumb a peke yao na kuuwasha kwa siri bila watu kuona. some say una mikono ya mizimu nk. naomba kufahamu kidogo kuhusu mwenge
mkuu uko pande hizi ninindio waja mlandizi zahanati,dozsa azizi shule,msufini ila garama za huo msafara na posho zao ni dawa tosha zahanati na vifaa mashuleni
mwenge ni zindiko la nchi
Mimi naongelea concept ya mwenge sio kama jamaa anavyo wandanganya watu mchana kweupe kuwa ni ibaada ya mashetani. Inamaana Watanzania ni mashetani?
Hauna jipya zaidi ya kuabudu mashetani. Kuna taarifa rasmi kuwa Mwenge huo unapofika Rombo-Kilimanjaro hufanyiwa tambiko mbalimbali ili kulinda viongozi wa nchi.
Taarifa zinaonesha kuwa kuna Wazee maalum wameandaliwa kule Rombo kwa ajili ya matambiko haya kila mwaka.Mmoja wa wazee hao aitwaye Mzee Malamsha amenithibitishia hicho.
Kwenye matambiko hayo,kafara hutolewa.Na kadhalika na kadhalika.Ndio maana,kila mwaka Mwenge wa Uhuru lazima ukimbizwe Mkoa wa Kilimanjaro na kufika Wilaya ya Rombo.
Mwenge huu ni wa kuupiga vita. Unaleta laana zaidi ya baraka. Unatubakisha kama nchi kwenye kuabudu mizimu badala ya kusonga mbele kimaendeleo.
Laana za Mwenge huu ndizo zinazotufanya tusieendelee. Ni muda sasa wa kuachana na imani hizi za kishirikina kwa kuachana na Mwenge huu.
wakuu mi nilisikia mwenge ni ushirikina, na kazi yake kubwa ni kuwapumbaza watanzania ili watawala waendelee kututawala. Maoni yangu ni kuwa kizazi hiki hatupumbazwi tena na washinde kabisa.
Mwenge ni Upuuzi mtupu na laana.Serikali ya ccm inautumia kupumbaza wananchi. Ndio maana tumekuwa kama mazezeta tu. Hatuwezi kuchukua maamuzi ya aina yoyote ile
Hauna jipya zaidi ya kuabudu mashetani. Kuna taarifa rasmi kuwa Mwenge huo unapofika Rombo-Kilimanjaro hufanyiwa tambiko mbalimbali ili kulinda viongozi wa nchi.
Taarifa zinaonesha kuwa kuna Wazee maalum wameandaliwa kule Rombo kwa ajili ya matambiko haya kila mwaka.Mmoja wa wazee hao aitwaye Mzee Malamsha amenithibitishia hicho.
Kwenye matambiko hayo,kafara hutolewa.Na kadhalika na kadhalika.Ndio maana,kila mwaka Mwenge wa Uhuru lazima ukimbizwe Mkoa wa Kilimanjaro na kufika Wilaya ya Rombo.
Mwenge huu ni wa kuupiga vita. Unaleta laana zaidi ya baraka. Unatubakisha kama nchi kwenye kuabudu mizimu badala ya kusonga mbele kimaendeleo.
Laana za Mwenge huu ndizo zinazotufanya tusieendelee. Ni muda sasa wa kuachana na imani hizi za kishirikina kwa kuachana na Mwenge huu.
Hakuna Concept yoyote apo umeongea upuuzi mtupu