<br /><br />&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
Unaweza kuthibitisha hiyo ID?Itaje....&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Hii thread nina interest nayo kama ilivyo ile thread aliyoanzisha Mwampamba usiku japo Mods waliiondoa kwa malengo wanayoyajua wao.Nimehifadhi ile thread kwenye computer yangu kama kielelezo cha ziada!&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Hatimae waongo na wanafiki bila kujali itikadi zao wameanikwa na bado.<br /><br />
<br /><br />
BTW:Siyo lazima nijibu kila thread!
<br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Mbona huo uzi umeshatuwekea humu. Halafu watu wanakusifia mjanja, naona tangu hii thread ianze unahangaika kama umejinyea. Huyo ndio Zitto kama ulikua humjui, uzi mmoja tu mambo yamekubadilika.
Loh paragraph ya mwisho umeharibu kwel yan changamoto kidogo atoke nduki...fikiria tena umshaur upyaMh.zitto haya magazeti yetu na vyombo mbalimbali vya serekali vinaendeshwa na skendo/mawazo ya watu humu jamii forums1)TCRA ilivifungia vyombo kadhaa vya habari baada ya thread kuanzishwa humu2)gazeti hilo la mtanzania na magazeti mengine yanaendeshwa na habari wanazoziona huku3)hata kukamatwa kwa lwakatare walipata hiyo clip hukuhuku jamii forumsKwaiyo nadhani wasikupe shida sana na pili washauri wabadilike kama nchi inaendeshwa na mawazo ya watu hapa jf inasikitishaKikubwa mheshimiwa zitto nakushauri hama chadema na utengeneze chama chenye malengo ya kumkomboa mtanzania Chadema imeshaoza sana .........Take this from me
Ni ujasiri mkuu mtu kuwakana mashabiki wapya wanaomchonganisha kwa rafiki wa enzi! Heko rafiki wa enzi, Zito
<br />
<br />
Ungekua principled ungetaja makosa yangu badala ya kutanguliza emotions.
By the way,nipo busy kushughulikia maswala ya kisheria na kila aliye-play part ni lazima atajutia na kuzilipia hila hizi.Sipendi mambo ya kijinga jinga
Haya mama. You know better. Ujumbe wangu ulimlenga Josephine ambaye ni partner wa Dr. Slaa. If you are not the one, forgive me. And I was just saying. And I still think my message is valid. Wengine husema kwa nia njema. Vilevile, hukuwa na sababu ya kutukana. You are actually a great thinker. No?
Si bora nimpigie kura mama yake akiomba kugombea kuliko huyu mnafiki anatia aibu chama kwa level ya exposure aliyonayo nisingeyegemea msiri wake mkuu eti ni mtera no wonder kaenda sputh africa kupunga mapepoYeah, maadui wapya ni wakuwaaangalia sana hasa ukichunga marafiki wa zamani.
Kwa ujumla namfagilia sana Mheshimiwa Zitto na pia naomba nia yake ya kugombea urais asirudi nyuma mana
chama kinahitaji rais kijana kama yeye atakaye mudu mchakamchaka wa kuitoa Tanzania katika wimbi la ufisadi
liliojengwa kwa miaka mingi na utawala wa magamba.
Absalom Kibanda? No huyu ni Mhariri Mtendaji wa Kampuni nzima ya New Habari (2006)Hii ndiyo natija ya watu kujitia katika kazi bila qualifications. hakuna journalist aliyefunzwa akaweza kuandika namna hii (hata kama ni kweli).
Hapa aidha bw Zitto au Dr Slaa inabidi walichukulie hatua gazeti hili kwa kulishtaki. Hii ni defamation mbaya sana ambayo licha ya kutaka kuchafua chama kwa malengo ya kisiasa, ingeweza pia kusababisha mauaji.
Msiwaachie hawa, kwani kwa kufanya hivyo wataendelea.
Nani mhariri wa gazeti hili?