Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO


Hapo kwenye RED amekukosea nini?Wakati mwingine tunajichumia dhambi zisizo za msingi ndugu.
 


Siasa kweli ngumu. Naona mkuu Zitto umekanusha lakini pia umetuma ujumbe Mzitto.
 
Kamanda umepanic,ila nshakusoma wewe nani mbona unapanic hiv.utajitaja muda si mrefu shauri yako.
mbona tumesha mjua ni nani,leo anadadili id mpaka zinamchanganya.
 
Reactions: kix
CCM mpango wao wa kuwatumia vijana {Juliana Shonza, Mwampamba na wengine wengi} pamona na idara ya Usalama ktk harakati za kudhoofisha vyama vya upinzani umeshadhihirika kufikia ukomo wa kuleta matunda wanayo kusudia.

Watanzania wanataka mageuzi CCM imeshindwa kutatua matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayoukabili umma wa watanzania. CCM inahitaji chama mbadala kitakacjho watoa Watanzania toka ktk dimbwi hili la Matatizo.
 
Matendo ya Lwakatare yasifanywe ni malengo ya taasisi.
Mkuu sijui kama ni ya Lwakatare ama ya Ben! All in all ni kwamba Zitto ni mwanasiasa aliyeiva. Na mwanasiasa kama huyu tusingetegemea kwamba aseme ni kweli kilichoandikwa kwenye gazeti. Huyo angekuwa ni mwansiasa uchwara. Nadhani asilimia kubwa ya watu hatukumwelewa Zitto watu wamekimbilia tu katika kanusho
 
hahaha..naona mkuu umeshitukia deal..hawa jamaa ben na zito wanapersonal bifu,au huyu ben ni proxy.yaani there is someone behind this guy and he is pulling strings.
Huyu jamaa hana kazi inayotambuliwa na CHADEMA kikatiba lakini unapoona watu kama 'First Lady' wa serikali itakayoundwa na CHADEMA wanampa nguvu na kukubali kwa kile anachokifanya, hapo ndipo unaanza kuelewa kwa nini anakuwa na ubavu wa kurumbana na kukwaruzana Mh. zitto.

Haya chini ni maneno ya 'First Lady'. Sasa sijui kama naye 'First Lady' ni PROXY.
Ben,

Hao wote ndiyo wahusika wa hii move,time will tell.kunawakati nawaza kwanini Mungu amekuwa kmya hivi,Lakini napata jibu,Yeye ni Mungu.

Kama Mungu aishivyo,itajulikana yupo Mungu
Waache waendelee kusema na kuandika.
Pasco ,
upande wangu najua unatetea kula yako.
my brother,kaa mbali na ushabiki,japo najua unaweza kuwa moja ya watu wanaojua haya,kwani si ninyi ndiyo mnahusishwa.

Look here,sikio la Mungu si zito kuzikia.
Haijalishi mtaonga nini,

huu si mda wa kupepesa maneno.
mtaongea yote,ila nimeeleweka.
Josephine ni Josephine, nitasimamia nachoamini.
No matter what,.

This time sitakaa kimya,mnawatesa watu kwa upuuzi wenu,bado nasema,unahusika.
Sikiliza Maandalizi ya moyo ni ya mwanadamu,lakini jawabu la ulimi ni la Mungu.

kutoka kwenye thread hii,
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nza-nape-mchange-na-mwampamba-wahojiwe-6.html
 
asante sana mkuu Zitto kwa ufafanuzi wako haya magazeti ya udaku part II yanapotosha sana umma wa watz
 
Kamanda umepanic,ila nshakusoma wewe nani mbona unapanic hiv.utajitaja muda si mrefu shauri yako.
Kumbe tuko wengi. Wewe pia umeunganisha Dots.

Hakuna kitu kibaya kama kupambana na ukweli. Mwishowe atasahau hata mwelekeo na kujikuta anamwaga mchele kwenye kuku wa hapa JF.
 
Umefanya mambo mazuri ZITTO hongera sana kiongozi,umewaumbua sana akina shonza,mwampamba na akina saanane utazani saa ya ukutani.
 
Kumbe tuko wengi. Wewe pia umeunganisha Dots.

Hakuna kitu kibaya kama kupambana na ukweli. Mwishowe atasahau hata mwelekeo na kujikuta anamwaga mchele kwenye kuku wa hapa JF.
Nilimwambia yeye na first lady wake kunakaribia kukucha na watajita wenywe bila hata kuulizwa.
 
Matendo ya Lwakatare yasifanywe ni malengo ya taasisi.
Chama kilikuwa na muda wa kujiondoa kwenye matendo ya Lwakatare lakini kwa sasa ni vigumu kutofautisha kwa sababu CHADEMA kwa sasa kinatumia resources zake kumtetea mahakamani, kwa maana kuwa, matendo yake bila kujalisha kama mazuri au mabaya, yanaihusu CHADEMA.
 
Heshma yako mkuu zitto.Nakutakia kila la khery katika ujenzi wa chama chetu. Ila nakuomba zingatia ushauri mzuri waliokupatia wanajukwaa,kazi kwako kuchuja upi mzuri na unaofaa kwa chama chako na viongozi wenzio katika ujenzi imara wa chama chetu cha CHADEMA. Pia jaribu kujiweka wazi u pande gani katika chama kuliko unavyofanya sasa kuacha mambo yanafika mbali mbaka yanafikia atua ya kuchafua chama. Kwa style iyo ndio maana wanajamiiforums wanakuona wewe msaliti dhidi ya chama na viongozi wenzio. Pls jitahidi kuwa mkali pale unapoona kuna mambo yanayokuchafua wewe na chama chetu. Pia waangalie kwa makini wanaokupamba.
 
Bravo ZittO!!!!
 

Sasa si unaona ile thread ilivyozaa matunda?
 
Hizi sarakasi za sijui zitaisha lini hasa.......

Inaonekana kuna mambo mengi sana yamejificha nyuma ya pazia....

Hebu tujikumbushe japo kwa ufupi....






https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...wa-zitto-na-kundi-lake-kutoka-kwa-mamuya.html
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…