Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Kasome tena gazeti,limemnukuu Juliana akisema alikuawa na ZZK kwenye hiyo bar,
gazeti yawezekana limemnukuu ndivyosivyo.kumbuka story za mwanzo za hawa mnawaita masalia ilikua ni kwamba zito akimkwepa ben na hawakuwahi kutana.

Na kwamba siku mwapamba anakamata kipakiti kile cha ungaunga HAWAKUWA NA ZITO.walikua ni kina mwapamba na ben.
Kwanza according to mtanzania,anaandika wakati ben akitoa pesa kulipa bili yote ndo kipakiti kikadondoka.hapa kama zito alikuwepo haingii akilini ben ndo awe wa kuclear bill.
 
Naona kijinga cha moto kimewatoa nyoka pangoni mwao.

Aibu imewakumba nyote mliokuwa mnashabikia upuuzi wa masalia.
 

Si umesikia kuna mpango wa USALAMA wa TAIFA (a.k.a CCM) kuisambaratisha CHADEMA kwa kupandikiza tuhuma za uongo za MAUAJI na UTEKAJI
 

Kukaa kote ULAYA haya ndio mawazo yako?
 
We mlamba miguu wa Nape hujambo?
 
Matendo ya mtu mmoja yasigeuzwe propaganda ya taasisi.
Ben saanane na slaa huwa mnafanya unyama kwa manufaa ya nani???
Chadema?
Josephine?
Urais?
Hizi ndio akili za Mwandishi wa Mtanzania, actually ndo akili za waandishi wengi.
Kanjanja tu, Tasnia ya Habari haina tofauti na jeshi la polisi na walimu. Ni product ya failed education system.
 

Hebu tutafsirie basi hiyo "statement" maana, kitu kiko wazi lakini magamba mmeamua kuitafsiri kimagamba!
 

Mbona hawakukutafuna wewe ULIYENONA?
 

Lol.. Watu wazima wameumbuliwa lol, hii ni dose tosha...lol
 
Nadhani ni jambo la msingi zitto afanye press watu wajue..second point viongozi wajuu wa cdm wawaandikie clauds radio barua ya onyo waache kukifedhehesha chama mara moja,,mimi nina imaani wanakula cha juu kwa ajili ya hayo wanayofanya..tatu viongozi wa cdm walishitaki gazeti husika kwa kuwa linatumiwa kwa njia ya kuidhofisha chama...peoples..........................powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
 
Tatu, nawashauri watu ambao wamehama CHADEMA na kuhamia vyama vingine watumie muda wao kujenga vyama vyao badala ya kila siku kuzungumzia masuala ya chama ambacho wao sio wanachama tena. Kama mtu kaamua kuhama CHADEMA anapoteza haki ya kujadili masuala ya CHADEMA maana kama angekuwa anapenda kuyajadili asingehama. Naonya mtu yeyote ambaye anatumia jina langu ili kufanikisha malengo yake ya kisiasa. CHADEMA sio pango la watesaji wala wauaji. Kama kuna mwanachama wa chama kingine cha siasa anayedhani kuna mtu ndani ya CHADEMA anapanga mipango ovu aende kwenye vyombo vya sheria kumshtaki. Matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…