sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
- Thread starter
- #21
Elimu ya uchumi binafsi ipp katika kiwango kibaya sana hii nchiMkuu mada yako imenigusa sana.
Watanzania wengi wamekosa hii elimu.
Utakuta kijana amepata kazi ya mshahara laki 7 then ghafla anaanza maisha ya showoff kabla hata hajajiwekea misingi mizuri.
Mwisho wa siku kazi mkataba ukiisha hata saving yoyote anarudi kuwa tegemezi hata kulipia kodi ya chumba hawezi tena anaanza kuuza vitanda alivyokuwa analalia ili apate hela ya kula.