Siri ya kushindwa CCM Arumeru Mashariki

Wananchi wa Arumeru ndio waliopiga kura na hawana ugomvi wa moja kwa moja na Lowassa. Au unamaanisha kuwa kazi ya KUIBA kura ilikuwa ngumu kwa kuwa makada waligomea wizi au walihujumu? Kama suala ni ballots ujue hata ccm wangemuweka Nape kugalagazwa kulikuwa pale pale. Give credit kwa kampeni walizofanya CDM ndio zimeleta ushindi na sio conspiracy.
 
Hayo ni matokeo yaliyotarajiwa na wote wanao soma alama za nyakati. HAKUNA MCHAWI hapo
 
Unapozungumzia Makamanda unaitaja CHADEMA tulimtuma Kamanda mmoja ZITTO Kule Mwanza ,Mbeya na Songea kazi imeonekana tunahitaji Nchi iongozwe kwa Sera na nidhamu si muda wakuwaita viongozi wenzio Wajinga nani mjinga kati ya Mkapa na Dr Slaa maana kila anachosema Dr Mafisadi wanaona Ujinga tu,CCM Kaeni na PESA ZENU ZA UFISADI TUACHIENI NCHI YETU WALALAHOI.Hongera CHADEMA
 

kwani mwanza, songea na kiwira waligombea wakwe wa lowassa
 
Nafikiri muda umefika sasa CCM kujiandaa kuachia utawala wa nchi hii. kwa nini tusifanye mabadiliko kwani ukiangalia CCM nani msafi ndani yake? Inanisikitisha kwani hawana upendo na wala uchungu wa Watanzania wengi tunaoishi kwenye mazingira magumu sana, chakula, umeme, nk.
 
Mwenyekiti JK Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,endelea kuongozwa na Mafisadi mwisho utauona GE 2015
 
wana Arusha nawapongeza sana kwa mioyo yenu ya ujasiri.Ukomavu wa siasa unaanza kuonekana.Viva Chadema viva Nassary.
 
...wameshindwa kwa kuwa hawapendwi.
...wizi umezidiwa nguvu huko na bado.
 
Ule utitiri wa FFU na Mapesa mengi sana ya kuhonga vyote vilitoka kwa Lowassa??

MATUSI ya nguoni ya Lusinde ni aibuya Lowassa pekee yake?

Mtu mzima Ovyo Mzee Mkapa naye Kajichora ili Edward Lowassa apate aibu??

Tulicho shuhudia Arumeru ni nguvu yote ya Viongozi wa serikali ya CCM na wake zao, Ikiwa ni pamoja na Ikulu kuanza kwa kuhonga ng'ombe, kupiga kampeni kwa nguvu zao zote huku wakifoka mapovu kisha kushindwa vibaya kwa sababu CCM ni muflisi.

Si kweli kwamba CCM wamefurahi kushindwa ingekuwa ni kweli walitaka kushindwa wasingetumia hizo Billions na Ufahari wa magari huko Arumeru.

CCM wameshindwa kwa sababu Kampeni za CHADEMA zilikuwa za kujenga na ukweli kwamba CHADEMA inakubalika Arumeru

 
sasa nguvu zinaelekezwa segerea,ccm kwisha khabari yake.:rockon::rockon::rockon::yo:
 
Hakuna cha siri yoyote wala cha Lowassa, CCM kwa ujumla wake haikubaliki. Hata wangemuweka mwingine yeyote wangemwaga tu. Mbona huko kwingine kwenye udiwani bado wamemiminwa???na huko kunamvutano wa makundi???Hebu tuangalie beyond the curtains jamani, tusijinarrow sana in our thinking.
 


Wakuu turudi nyuma kuna maneno waliyasema Wahenga wetu,Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.hivi mnawakumbuka

hawa wazee KITIME,KADUMA,BUTIKU.walieleza maoni yao juu ya Chama tawala kuwa chama kimepoteza mwelekeo
ila walijiwa juu kuwa si kweli kiko wapi?hawa wazee hakika huwa nawaheshimu hakika katka Chama tawala kuna watu
wapo ila kwa staili hii wameshaona mwelekeo wa chama chao kinako kwenda.walivyo yasema maoni yao walionekana kama wao niwasaliti ninyi badala ya kuwaita na kuwasikiliza kwanini wamesema hivyo mnaanza kuitisha waandishi wa habari na kujibu hoja zisizo na maaana,mngewaita wangewaambia ni kwa nini wanasema hivyo .
 
kimeshindwa kwa sababu ya LOWASA vip kirumba ,kiwira,songea ,lisbon.....nani alisabisha ...shame upon you ssm Be serious on important issues......peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz power
 
Kwani CCM hawakupeleka TOT, Mwigulu, Mkapa na fedha huko Arumeru?
 
Kama ni kumkomoa Lowasa mgari wa TOT umeenda kufanyaje na nani kawalipa ni lowasa? ccm bwana wanajua sana kubwata.
 
Wakishindwa hawakosi sababu kama kikwazo ilikuwa ni Lowassa basi sasa ndo wakati muafaka wa kumvua gamba kwani wameshaona kuwa inawezekana ingawa kwangu naona nguvu kubwa ya cdm ndo hasa imewashinda magamba na kwao Lowassa ni mtume hawawezi mtosa
 
sio hilo tu pia sera mbovu za CCM kuendelea na mambo yao ya kuwa na siasa ya kizamani....
 
Walitumia ikulu yetu kumteuwa sioi mungu hapendi ni kinyume na taratibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…