Siri kuu kuhusu Escrow zafichuka

Siri kuu kuhusu Escrow zafichuka

Rugemalira alishiriki ktk pesa hizo kwa kupewa mgawo wa hisa zake hakuiba hizo pesa. Walio iba ni watu wa serikali na yule mhindi.

Kweli Jf imeingiliwa, huyu nae? nakumbuka kuna tangazo moja la tv kuhusu condoms kipindi cha nyuma, mtu amejikinga bonge la mvua na magazeti, jamaa akapita ana mwavuli akasema, 'Huyu? huyu hata usimuulize huyu, hata habari hana!' Sasa huyomtu ndio sawa na huyu ndugu yetu 'timbilimu', hajui hata yeye mwenyewe nini analolizungumza, kama mnabisha mtaona.
 
BAK said:

Rais alikiri kuwa aliyepewa fedha na serikali – PAP – hakuwa na sifa; serikali yake haikufanya uchunguzi yakinifu kuhusu historia, uhalali, sifa na uwezo wa kampuni ya PAP katika uwekezaji wa umeme, ununuzi wa mitambo na mtaji.
 
Hii sentensi si kweli:
"madhehebu ya kidini", ukweli ni dhehebu moja tu tena ni la kanisa katoliki ndilo lililotumika.

Kwanini mpotoshe na kusema "madhehebu"?

Cc BAK
336_ruge.JPG
pole sana..kiswahili ni chetu ila kinatupiga chenga....neno madhehebu halina umoja chukua kamusi ya TUKI utaona hilo...ni kama neno mafuta utasema umoja wake ni futa?
 
Hii sentensi si kweli:
"madhehebu ya kidini", ukweli ni dhehebu moja tu tena ni la kanisa katoliki ndilo lililotumika.

Kwanini mpotoshe na kusema "madhehebu"?

Cc BAK
336_ruge.JPG
Hiyo sentensi inasema “…hili liserikali lote limeoza. Kuanzia Ikulu, mfumo wa mahakama hadi viongozi wa madhehebu ya kidini; kote kumejaa rushwa.”

Sidhani kama anazungumzia Escrow peke yake ...........!!!
 
Hujui mishahara ya wabunge? Kama siyo ubwege in nini?
Mbowe ni mwenyekiti Wa chadema.

Sasa kama chama kinachotetea uwazi na uwajibikaji lazima Mbowe awe muwazi kwa kuweka salary slip zake hadharani.
 
Mbowe ni mwenyekiti Wa chadema.

Sasa kama chama kinachotetea uwazi na uwajibikizaji lazima Mbowe awe muwazi kwa kuweka salary slip zake hadharani.
Dai salary slip ya Magufuli kwa vile aliahidi mwenyewe kuiweka. Akifanya hivyo hata wewe nina hakika utaweka ya kwako sembuse ya Mbowe?
 
Dai salary slip ya Magufuli kwa vile aliahidi mwenyewe kuiweka. Akifanya hivyo hata wewe nina hakika utaweka ya kwako sembuse ya Mbowe?
Aanze Mbowe kwanza ,kwa sababu chama chake kinajiandaa kuchukua dola.

Wananchi tunasubiri mfano Wa uwazi na uwajibikaji kutoka kwa Mbowe
 
Tunataka mshahara Wa Mbowe kwanza , mambo mengine baadae.
Maskini ya Mungu wee! hata hili la kitaifa unashabikia uchama? Mshahara wa mbowe utarudisha fedha za uma zilizo ibiwa? Mbona una ushabiki usio na tija?
 
Mimi nadhani Magufuli asikurupuke kutumbua kashfa kama Escrow kama baadhi yetu wanavyotaka kabla hajajipanga. Nafikiri ndiyo maana bado anapanga vyombo vyake vya dola na kuwataka watendaji kwanza wawe waadilifu. Na ndiyo maana majuzi tumemsikia akitoa mfano wa jinsi ofisi ya DPP ilivyozembea kwenye kesi ya "Samaki wa Magufuli".

Kwa sababu haitoshi kuamuru fulani na fulani wapelekwe mahakamani. Kwa hali ilivyokuwa katika mfumo wa utoaji haki na usimamiaji sheria na huenda bado iko hivyo, hawa jamaa ukiwapeleka mahakamani wanaweza kwenda kushinda kesi kirahisi na kuidai serikali fidia, au wakapata hukumu laini kabisa. Mifano ipo ya kina Mramba na Yona; Mhando wa TANESCO na hata Saliboko wa RITA ambaye alishtakiwa kutokana na Escrow hiyo hiyo. Angalia hata kesi ya kina Kitilya inavyokwenda ambapo baadhi ya mashtaka yanataka kufutwa kabla ya kusikilizwa kesi yenyewe...

Labda tusubiri hiyo Mahakama ya Mafisadi inaweza kuja na mpango au mwenendo tofauti...
 
S i kila jipu ni la kutumbua, Lugumi aliposema haya alimaanisha wako ambao hawagusiki wale wasemao gusa unase, kita kisiki ukikwae, ataishia na wakurugenzi uu maskini waliopewa maagizo toka ngazi za juu.
 
Kumbe ni mwanahalisi ndi limeandika huo upupu, naishia hapo...
 
Kunahitajika mtu kama kale kakijana kadogo ambaye ni rais wa Korea kaskazini aliyeagiza mjomba wake apigwe risasi na pia waziri wake wa ulinzi apigwe shaba kwa kulala kwenye kikao ndiye anaweza kunyoosha hii Tanzania na kuleta nidhamu. Tuzidi kumwombea Magufuli awe na moyo mkuu wa kuwatumbua hawa watu ambao wamefanya nchi yetu kuwa maskini.
 
Sauti ya wananchi ikiwa kubwa itazungumzwa. Lakini mkisema haiwezekani basi hata wapi wanasima Naomi yenu
 
Magufuli anakazi hii nchi karibia kila MTU ni jipu kwa nafasi yake!!Itachukua miaka 50 nchi yetu kuwa waadirifu secta nyingi

Miaka 50 ya utawala wa ccm...miaka 50 ya kuweka nchi katika uadilifu Kwenye secta zake...halafu ndo tunaanza kupambana kupata maendeleo....duuu hii nchi kuendelea ni kwa Neema ya mwenyenzi.Mungu tu ila sio uwezo wa viongozi hasa hasa products za ccm...futaaaaa
 
ANAKAMUA NYAMA NA SI "MAJIPU" Tibaijuka!/
I will truly trust this man if he would touch ESCROW,LUGUMI.
TUSIWAFUNGE BALI WARUDISHE HIZO FEDHA.
kuzirudisha ni adhabu kubwa kuliko kifungo.


Raisi Magufuli hahitaji hiyo unayoiita trust yako, unaweza tu kubaki nayo na kuingia kaburini!
 
Back
Top Bottom