mmangO
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,015
- 1,597
Mi nadhan dhumuni la kuandika bible ni kuleta ujumɓe wa jinsi binadamu tulivyo na uhusiano na Mungu ..kwa wakati uliopita uliopo na ujao na nini yatupaswa tuwe ili kuweza kuishi maisha pasipo kufa(baada ya kufufuliwa ) na Yesu kutokana na maelekezo aliyotoa sasa kwa kuwa wameandika wanadamu basi wanakuja wanadamu na mawazo yao wanaongeza na kupunguza vitabu/maandish kutokana na mapoƙeo ila ujumɓe ni ule ule toka Mwanzo mpaka Ufunuo ni kuhubiri ujio wa Yesu Kristo..Imeandikwa kwa uweledi najua ila Biblia ipi mkuu..... King james au NIV ambayo imekiri biblia imechakachuliwa na hivyo kufuta mistari zaidi ya 100???
Kutolea mfano king james bible sawa sawa mjaluo au mmakonde aitafsiri kwa kilugha chao naye ni binadamu huenda akakosa maana ya tafsiri ya maneno mengine au akaona maandishi mengine sio sawa au akaamua kuacha yote kama ilivyo ndio maana kwenye tafsiri za biblia wanaandika sehemu walipotoa maandiko (mfano imetokana na jerusalem ɓiɓle or king james bible) ...inaeleweka england asilimia kubwa ya wakazi wake ni anglicana (nikimaanisha dhehebu linatokana na mapokeo kutokana na kile walichotafsiri kutoka kwenye biblia ..rejea waadventista ,wapentekoste ,catholic n.k) kila dheheɓu hapo ukichukua bible zao wanazotumia utofauti utakuja kwa kile ulichozungumza( mf.king james from england-anglicana) ila dhumuni ni lile lile.