Siri 5 Mauaji Msikitini

Polisi warejee mazungumzo ya viongozi wote wa din kabla kuhusiana na wenzao kukamatwa, kitendo cha wahalifu kusema wamesalitiwa kwamba kwa nin wao wanasali wakati wenzao wamekamatwa, tayari kinaweza kuonesha wahusika ni wakina nani. Haiwezekani mtu aibuke tu kuuliza makubaliano ambayo hayakuwepo.
Japokuwa wamemuua Imam, lakin kuna haja ya kuangalia in and out zake zote na za viongoz wengine kabla ya mauti.
Jambo jingine, hapa unauona umuhimu wa mguu wa kuku kibindoni, hata kama ni kusanyiko la dini sababu wanasiasa wameshapose hii nchi kwenye risk potentials nyingi sana sasa lazima kama una uwezo ujilinde.
Wajinga wajinga wakija na mapanga na mashoka bila bunduki, kabla hujachinjwa unaweza kufurukuta ukafa na baadhi.
Otherwise, poleni sana wafiwa.
 
ina maana kila mtu anayeingia uislamu basi anawaona wengine kama adui???? au anaonewa au anasingiziwa???maana kauli hizi za eti chuki zimezidi,au ukiwa Mwislamu maana yake ni kuwa Mlalamikaji wa kuchukiwa na kuonewa???wake-up Bwana.
soma ulichoandika halafu nieleweshe
 
Kwa hiyo huko gym hawawezi kufanya uhalifu
 
'kisasi ni haki lakini kusamehe ni bora'-qur'aan,wewe ungefata nini hapo kwenye ushauri wa ALLAH(S.W)?..tatizo lenu uislam hamuujui,mnahadithiwa tu na viongoz wenu wanaotaka sadaka zenu hadi siku mnakufa..pia uchamungu sio ukondoo,upigwe,uonewe,udhulumiwe we utulie tu,huo ujuha
 
Ww unamuabudu nani, mvaa machupi wa msalabani au Yesu
kuna maruhani mawili au matatu yanakuchanganya ndiyo maana una visa na chuki binafsi, pole sana...mfungo unakaribia, so kwa siku hizi zilizobaki Malizia ratiba zako za kuwala tigo watoto wa watu(wa kike na wa kiume),Malizia kutukana, kawalipe wadeni mabaamedi ulowakopa then kaonje kitimoto kilo moja tu kisha kaka utulie ujiandae kumpiga mawe shetani...sawa mjomba?
 
Unatoa hoja za akili yako si hoja za waislam kuhusu hilo la kuvaa suruali isiyoburuza

Na kama kufuata akili yako hata mavi utasema sawa kuliwa
 
Umetwanga viroba vingapi asubuhi hii
 
Chuki ni maradhi makuu kuliko.kansa
 
Mkuu lakini huyo unayemuita mvaa chupi msalabani Quran inamtambua. Ila Muhammad biblia haimtamki. Simaanishi kwamba hakuwa Mtume, ila kwakuwa huyo unayemwita mvaa chupi msalabani Quran inamtabua kama mmoja wa mitume, mpe heshima yake basi.
Kumbe yule aliyevaa chupi ndiye masihi acha kumdhalili kumfananisha kinyago cha mpingo
 
Huwa najiuliza waarabu ndo wangekuwa super power wa Dunia hii mfano kama Marekani, France, Uk, German, Russia, China, Japan nk. Wangeruhusu imani nyingine kweli nje ya uislam?
Uislam sio uarabu
 
Subiri sasa, We jifanyaje mjuaji tu.
Umekula sabuni Omo ngapi asubuhi ya Leo , Hilo mpovu mdada litakuua. Polisi wafanye kazi Hao waachane na miluzi ya wala kitimoto kwa mineno Hao mbofumbofu sijui wavaa njiwa Hao, wafuga ndevu, wafuga majini, wacheza judo na mengine blahblah yanayoweza kusababisha wahalifu wasikamatwe
 
Unalijua povu lakini?, halafu uwe na adabu usidhani kila mtu humu ni dada kama wewe.
 
Wengi wa hawa mujahidina ni watu waliogubikwa na umaskini uliokithiri, hawana future, Elimu zao ni za hapa na pale,mara zote hawana shughuli nzuri za kuwaongezea vipato, wana chuki na maisha ya wanadamu wanaoishi kwa raha na kuvaa, na kula vizuri, hawa hata pa kwenda kuishi vizuri hawana, baba maskini, au hayupo, mama maskini na ndoa zilizovunjika, hawa hata ukimvisha Bomu kwa mstari mmoja tu wa aya anakwenda, wanatumi Dini kuiba, kubaka na uchafu wote .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…