mkewe mzuri!
Aaa,huyu demu si alikuwa wa chege huyu?mkewe mzuri!
Huyu Juma Necha sijui kwa nini tu huwaga nikimwangalia naanza kucheka....
Mmeshaanza!Mnataka Slaa aamie kwa Nature nini!?
He he tunaomba tafsri hapo wewe Lunanilo, ha ha!.That's so funny Sikonge Magwega wa Chiguru mhh hebu tuwaachie akina Yego watutafsirie.
Nasikia alikuwa ni demu wa Chege.
Aaa,huyu demu si alikuwa wa chege huyu?
Aaa,huyu demu si alikuwa wa chege huyu?
Nasikia alikuwa ni demu wa Chege.
kizuri unakula na ndugu yako
Nasikia alikuwa ni demu wa Chege.
Aaa,huyu demu si alikuwa wa chege huyu?
Tatizo la huyu jamaa ni pombe na kitu cha Arusha. Tunawaombea kila la heri ktk ndoa yao.........