ngaboru
JF-Expert Member
- Mar 3, 2016
- 2,116
- 5,531
Kweli shosti.Wamasai wana dawa zao hizo wanakupaka kichwani wakati wa msuko unajishtukia ushagongwa na mmasai bila kujua
Kweli shosti.Wamasai wana dawa zao hizo wanakupaka kichwani wakati wa msuko unajishtukia ushagongwa na mmasai bila kujua
asante kwa reply but MI NI DUME!Kweli shosti.
Nikikuruhusu umpake rangi ya kucha namimi naomba uniruhusu nikupake KY hapo tutaenda sawa....
UTAKUBALI???
Nani amesema mi mwanaume wa Dar?Mimi siyo mke, naona unajichanganya.....ila kama utataka nikupe dushe sema tu, nyie wanaume wa Dar mnaeleweka na mambo yenu ya kisodoma na Gomora.
Jina lako linaonyesha kabisa kwamba wewe ni kijana wa Dar, hapo unatafuta wafuasi wako tuNakufahamu wewe.
Mke wangu marukuufu kwenda kwa wamasai kusukwa. Kwanza hawaogi alafu kichwa chake kinawekwa juu ya mapaja yao nasema big no.
Utasukwa na wanawake wenzio bhana.
Mke wangu marukufu kupakwa rangi za kucha na hawa vijana.Cha kumshika Mke wangu mikono na miguuu nani anataka huo upuuzi nasema big no, nitakupaka mwenyewe.
Sipendi ujinga mimi
Mke wangu marukuufu kwenda kwa wamasai kusukwa. Kwanza hawaogi alafu kichwa chake kinawekwa juu ya mapaja yao nasema big no.
Utasukwa na wanawake wenzio bhana.
Mke wangu marukufu kupakwa rangi za kucha na hawa vijana.Cha kumshika Mke wangu mikono na miguuu nani anataka huo upuuzi nasema big no, nitakupaka mwenyewe.
Sipendi ujinga mimi
Nimempa mimba binti mmoja jina tumpe Chausiku.Tatizo dini, siye tunapendana sana na yeye binti yupo tayari kuja upande wa dini yangu. Upande wa kwao unakaza hawataki mtoto wao aje upande wangu.
Kibaya zaidi yani wanataka mpaka mtoto akizaliwa awe upande wao,
wazazi wangu wamenishangaza kidogo sikutegemea kama wangesema hivi;
kama wazazi wa binti watagoma mtoto wao kuja upande wetu achana naye hata kama amebeba mtoto wetu dooh! Kwa kweli hii ni ngumu kumesaa.
Ushauri wametoa kwasababu upande wa wazazi wa binti wanataka mimi nibadilishe dini niwe upande wao, kama sitaki binti na mtoto aliye tumboni ni mali yao na mimi hawatanitambua.
Tulicho fikiria sisi na binti;
Kwa sababu tunapendana sana yeye binti awaambie wazazi wake, kwamba kila mtu atabaki na dini yake. Lengo tupate ruhusa kutoka kwa wazazi wake ya siye kuishi wawili nimsahidie kulea mimba ina miezi minne nahitaji kuwa baba wa mfano. Sijui njia hii ipo sahihi?
Naombeni ushauri wakuu.
Usikonde bro..hayo yote yatapita tu kwani bado kidogo mtahamishiwa Dodoma na hatutowaita tena wanaume wa DarMke wangu marukuufu kwenda kwa wamasai kusukwa. Kwanza hawaogi alafu kichwa chake kinawekwa juu ya mapaja yao nasema big no.
Utasukwa na wanawake wenzio bhana.
Mke wangu marukufu kupakwa rangi za kucha na hawa vijana.Cha kumshika Mke wangu mikono na miguuu nani anataka huo upuuzi nasema big no, nitakupaka mwenyewe.
Sipendi ujinga mimi

Jamaa huna tofauti na mume wangu
ati baadhi ya nyege zako zko miguuni,zingne zimebakia wapi....?Mimi sisukwi na wamasai bcoz wanasmell vibaya sana na kwenye kucha najipaka mwenyewe home nanunua rangi napaka bcoz baadhi ya nyege zangu zipo miguun ndio maana mzee alinipiga marufuku kwenda kupakwa rangi na wakaka