Sipendi ujinga kwa mke wangu

Sipendi ujinga kwa mke wangu

Niliwahi kaumbiwa kuwa,, jinsi unavyozidi kumsukuma binadamu kuelekea kwenye ukuta akifika mwisho atatafuta mbinu jinsi ya kujiokoa na Hata kukurudisha wewe nyuma
 
Hakuna cha kujiamini na kupapasiwa mke wangu, huo ni ujinga uliopitiliza
Ha ha ha haaaa nacheka kwa dharau, wakati anapakwa rangi atakuomba ruhusa? Utampeleka salon? Hivyo vitu vitafanywa akitoka kazini, halafu wewe utakuwa huna kazi ya kufanya
 
mmmmmm!!!!!!!! huu wivu ata nyau kakudharau.
 
Ha ha ha haaaa nacheka kwa dharau, wakati anapakwa rangi atakuomba ruhusa? Utampeleka salon? Hivyo vitu vitafanywa akitoka kazini, halafu wewe utakuwa huna kazi ya kufanya
Kweli cheka kwa dharau mkuu, ni kuambie tu hicho kitu kwangu hawezi kufanya bila ya kuniomba ruhusa nikubali ndo afanya nisipokubali hafanyi na hakuna malalamiko, watu tumeoa wake wenye heshima zao bana sio madude tu ya kuokota
 
Huuu ujinga huwaga siupendagi kabisa yaaani, cha ajabu siku hizi ipo na midume inashikwa shikwa mikono na miguu eti na lidume zima na lenyewe linasafishwa kucha huu use.nge huwaga siukubali kabisa, kwel dar kibyokooo
 
Yan kuna watu wanao changia kwamba namchunga mnakosea

Bali wanao changia Nina wivu mpo pamoja Na mie

Kwa mfano kupanga rangi aaah hata mie mbona naweza sio mpaka akashikweshikwe Na wale vijana .
Tena utakuta Mke wa MTU ameweka miguu yake juu ya huyo kijana anasuguliwa aibu aiseeee
 
Huuu ujinga huwaga siupendagi kabisa yaaani, cha ajabu siku hizi ipo na midume inashikwa shikwa mikono na miguu eti na lidume zima na lenyewe linasafishwa kucha huu use.nge huwaga siukubali kabisa, kwel dar kibyokooo
Tupo pamoja Na mie sipendi huo ujinga
 
Wanaume kama ndo huwa wamamegewa balaa mke huwa hachungwi!!!!
Aisee siwez kumchunga Mke wangu Na ilo mie nalijua
Lakin kushikwashikwa Na wale vijana nasema big no
 
Ukiona mwanaume anambana mkewe namna hiyo ujue na yy michepuko Anayo anahis anachotenda na mkewe anatenda hayohayo acha wivu fanya maendeleo, mwanamke hachungwi ila anajichunga mwenyewe kutokana na tabia yake ya awali
Simchungi nafanya Maendeleo
Mkuu
Ila kushikwashikwa nasema big no
 
Kucha tu na nywele unalia!!! Ukimkuta kwenye massage itakuaje sasa
 
Si afadhali hao wanafanya mchana kweupe nje, yupo anaembandua ndani mchana, au hilo halina shida Mkuu
 
*UNAKAA NA DEMU MIEZI 3.6.9.12HUJAMPA MIMBA CJUI UNATAKA UPEWE WEWE*
Sipend ujinga mimi.
 
Haha bora wewe umeamua hayo, na kama mke wako atakubaliana na wewe maana siku hizi na wao niwabishi kweli kweli katika kutekeleza mambo yao
 
Wivu WA mapenz muhimu ila pia uwe na mipaka, kama utaweza kumsuka kumpaka rangi Sawa ila tahadhar ukimbana Sana mtu akipata nafas ya dakika mbili anamaliza kila kitu, hivyo mwambie abcd na pia aiheshimu familia
 
Haha bora wewe umeamua hayo, na kama mke wako atakubaliana na wewe maana siku hizi na wao niwabishi kweli kweli katika kutekeleza mambo yao
Nisha mwambia kwa hekima amenielewa mkuu kucha namsugua mwenyewe tukiwa tumelala kwenye kochi.
Yani ata kusuguliwa kucha Mke aende kwa hao vijana aiseee nasema hapana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom