Msema kweli mpenzi wa Mungu mimi vyombo naosha mara moja kwa siku. Labda nikiwa na wageni ndaniNikiingia ndani sehemu ikiwa untidy akili inashindwa kufanya kazi.
Kwasababu ya make up siwezi kurudia nguo lakini ninarelax si kuwa nikimaliza kula lazima nioshe vyombo hapana
[emoji15][emoji848][emoji15][emoji848][emoji15][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza hiyo kazi ya kufua kila siku anaiweza dobi peke yake,,,, usikute mtoa mada ni dobi
Zinapauka hatari, maji yenyewe haya yamejaa chumvi kama nini.Nguo ya kitenge ufue kila unapovaa mbona utaichukia ndani ya muda mfupi sana, watakuja wadada hapa watakuambia wanafua mashuka kila baada ya siku mbili. Mtu naoga nalala nikiwa msafi nilalie shuka siku mbili inahu
Kukiwa na wageni hasa glass zinaoshwa straight away, haya mambo ya kununua tena glass hakuna budget hiyoMsema kweli mpenzi wa Mungu mimi vyombo naosha mara moja kwa siku. Labda nikiwa na wageni ndani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana, usafi mwingine kujipa mateso tuZinapauka hatari, maji yenyewe haya yamejaa chumvi kama nini.
Siku mbili? [emoji28][emoji28][emoji28]wakati ni juma 2 kwa juma 2 maana mashuka yenyew yanapauka.
Mtu anaweza sema Mimi nabadili mashuka kila siku na wakati blanket lake lina miezi 6 halijui maji.
Kuna haja gani ya kutumia "Make-up" mama.. baki natural, yan baki katika uhalisia wako! It'so more attractive than deception of your own naturality!Nikiingia ndani sehemu ikiwa untidy akili inashindwa kufanya kazi.
Kwasababu ya make up siwezi kurudia nguo lakini ninarelax si kuwa nikimaliza kula lazima nioshe vyombo hapana
😂 😂😂 tena mafunzo ya make up yalianza A-level mkijiandaa kwa school discoKuna haja gani ya kutumia "Make-up" mama.. baki natural, yan baki katika uhalisia wako! It'so more attractive than deception of your own naturality!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti anajiharishiaga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nguo za ndani ndo nabadilisha kila siku,,jins utavaaje leo alafu ufue leo?au unajiharishiaga mkuu?[emoji23]
Inawezekana kabisa[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza hiyo kazi ya kufua kila siku anaiweza dobi peke yake,,,, usikute mtoa mada ni dobi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zinapauka hatari, maji yenyewe haya yamejaa chumvi kama nini.
Siku mbili? [emoji28][emoji28][emoji28]wakati ni juma 2 kwa juma 2 maana mashuka yenyew yanapauka.
Mtu anaweza sema Mimi nabadili mashuka kila siku na wakati blanket lake lina miezi 6 halijui maji.
Safii asante kwa kutuhakikishia ulinziakikupiga mkombozi wenu nipo.
Yaani ufue shuka kila siku mbili Kwani ukilala unapaka mkaa!? Mtu wa hivyo ni muongo kabisaaaaa tena muoooongooooNguo ya kitenge ufue kila unapovaa mbona utaichukia ndani ya muda mfupi sana, watakuja wadada hapa watakuambia wanafua mashuka kila baada ya siku mbili. Mtu naoga nalala nikiwa msafi nilalie shuka siku mbili inahu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapa mwezi sijafua nakazi ya kurudia rudia nguo tu.... Nikiona inatishatisha naweka kwenye kitenga cha nguo chafu.... Maswala ya kujipa shida siwezi mimiInawezekana kabisa[emoji28]
Mama kuna watu walisema hapa Jf, sema nimesahau title ya uzi ningekuwekea linkYaani ufue shuka kila siku mbili Kwani ukilala unapaka mkaa!? Mtu wa hivyo ni muongo kabisaaaaa tena muoooongoooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unataka mke au Bibi afya.[emoji41]
Hapa unaweza kumchapa yupi makofiKwa jinsi nilivyozea nikiwa bachelor nguo navaa Mara moja na nikivua hapo hapo nazifua japo nipo busy Mara nyingi lakini ni msafi 24 hours, nikila papuchi ghetto Demu akitoka hapo hapo nafua shuka!
Sasa sipati picha nikipata Mke mchafu ambae ana tabia ya kurundika nguo wiki nzima hadi zianze kunuka uvundo ndio azifue aisee!atachezea makofi daily
Wewe utakuwa mchafuEti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.
Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.