Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,918
- 7,056
MfyuuuuuuUnataka uonje?
MfyuuuuuuUnataka uonje?
Kwa kuwa umeamua kupishana na gari la mshahara makusudi, basi.Mfyuuuuuu
Kaa na kibamia chakoKwa kuwa umeamua kupishana na gari la mshahara makusudi, basi.
Kwani wao wanaoenda yako? Nenda kapende ya wkurya na wahsya basi au wamakondeLafudhi ya wasambaa inaniudhi sana Yani sijui wanaongelea koromeoni sisi wapare tunawaita wasambaa vashamba kwasababu nyingi sana.
Hii dushelele yangu ukiionja utawakana wazazi na ndugu zako wote.Kaa na kibamia chako
Hawawezi kuzidi wachagaIla pia wasambaa wengi Wana funza miguuni sijui kwanini nadhani ndio kabila linaongoza kwa funza Tanzania.
Watu wanaongoza kwa accent mbovu Tanzania ni Waha wakigoma . Very borin' accent.Lafudhi ya wasambaa inaniudhi sana Yani sijui wanaongelea koromeoni sisi wapare tunawaita wasambaa vashamba kwasababu nyingi sana.
Hahahahahaha wakina Jaaa, mweeeeeBora umsikilize mluguru Akiongea sio msambaa
We una matatizo, lugha ni kazi ya MunguLafudhi ya wasambaa inaniudhi sana Yani sijui wanaongelea koromeoni sisi wapare tunawaita wasambaa vashamba kwasababu nyingi sana.
Mmeshaanza kubadili mbinu kuendekeza hayo maukabila yenuLafudhi yenu inakera mnaongea kwenye mashavu na ulimi na koromea Bora nimsikilize mchaga nainjoi ila sio msambaa.
waekee du ni wadashi haooJamani, sasa sie tumewakosea nini?
Haya poa.