G GeeM JF-Expert Member Joined Apr 11, 2014 Posts 1,897 Reaction score 1,328 Oct 28, 2015 #21 Kuna kila aina ya ubabaishaji kwakweli
Credit JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 1,542 Reaction score 2,006 Oct 28, 2015 #22 kama ni hivyo kweli, nampongeza sana DKT. SHEIN kwa kuwa mwelewa, anaipenda sana Zanzibar huyu mzee.
Money Stunna JF-Expert Member Joined Aug 9, 2011 Posts 13,053 Reaction score 6,328 Oct 28, 2015 #23 Uonevu huu hadi lini ?
PakiJinja JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 11,696 Reaction score 25,977 Oct 28, 2015 #24 Super Handsome said: Nkapa ndio ana mustakabali wa maisha ya kisiasa ya wazenji..acheni kulalamika! Click to expand... Mkuu humu ndani tuna watu si wa kawaida huyu mshikaji sijui pepa alilichungulia wapi alilosema ndiyo yanayoendelea huku.
Super Handsome said: Nkapa ndio ana mustakabali wa maisha ya kisiasa ya wazenji..acheni kulalamika! Click to expand... Mkuu humu ndani tuna watu si wa kawaida huyu mshikaji sijui pepa alilichungulia wapi alilosema ndiyo yanayoendelea huku.