Kanyamulano
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 905
- 876
unakaa wap?, unataka mwanaume wa umri gan?,unataka awaje? Funguka mdada mm nipo apa
Anasema anafanya kazi, ina maana pia licha ya kuwa mfanyakazi bado anaishi kwaoIna maana hata shule ulisomea nyumbani?
Weka picha sasa usikute mamakeup yanakuongopea ukijicheki kwenye kioo kumbe kiumbe wa ajabu
Ila mzigo alikulaNikipata hata adi 35 sina shida ila sipati, ninakua nacontact nao ni watu wazima kutokana na nature ya kazi
Na ndio mimi ni nyumbani na kazini tu na nkichelewa rudi wazee wakalii
Na chuo nlishawahi kua na boyfriend ila alkua muhuni sana kias kwamba tulishindwana
Alitake advantage over the fact anajua m nlkua si mtu wa kutoka mara kwa mara hivo akawa na vimada wengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Safi Sana
Funguka hapo hizo shidah....Ni kweli,
Pia sijaacha wengi ni huyo mmoja tu...
Na yeye sio kunicheat tuu
Anayo shida mingi nlizoshindwana nae
Sent using Jamii Forums mobile app
♂️Ulisoma chuo gani?Nikipata hata adi 35 sina shida ila sipati, ninakua nacontact nao ni watu wazima kutokana na nature ya kazi
Na ndio mimi ni nyumbani na kazini tu na nkichelewa rudi wazee wakalii
Na chuo nlishawahi kua na boyfriend ila alkua muhuni sana kias kwamba tulishindwana
Alitake advantage over the fact anajua m nlkua si mtu wa kutoka mara kwa mara hivo akawa na vimada wengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni introvert kwa haraka haraka, shukuru mungu umepata courage ya kuja kujieleza maana ungeteseka sana na stress.Ila hujachelewa njoo u blend na mimi nikufundishe maujanja im an Extrovert by nature!
Kwanza vunja hizo itikadi za kikoloni ambazo wazazi wanazi impose kwako, binti wa 25 years ni mtu mzima ambaye anaweza kufanya maamuzi yake pasi na kuingiliwa na mzazi na hata kisheria. Do whats good for you regardless mzazi atachukia au ataongea nini, maisha ni ya yako sio ya mzazi wako!Nikipata hata adi 35 sina shida ila sipati, ninakua nacontact nao ni watu wazima kutokana na nature ya kazi
Na ndio mimi ni nyumbani na kazini tu na nkichelewa rudi wazee wakalii
Na chuo nlishawahi kua na boyfriend ila alkua muhuni sana kias kwamba tulishindwana
Alitake advantage over the fact anajua m nlkua si mtu wa kutoka mara kwa mara hivo akawa na vimada wengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa utakuwa unapigwa pumbu na kuachwa, sorry but im just trying to be real with you! Labda upate mtu serious ambaye anatafta mke akuoe kabisa!Thank you, ila hapo ndo weakness yangu. Mimi ni mtu mwenye aibu sana. Na nashindwa jichanganya na vijana wezangu coz always wanapenda mitoko ya jioni na hicho ni kitu kwangu hakiezkani kutokana na wazaz wangu they are very conservative
Sent using Jamii Forums mobile app