Sipati wanaume wa rika langu

Sipati wanaume wa rika langu

Jamani nisaidieni mimi ni binti wa mikaka 25, mara nyingi nipo nyumbani tuu. Wazazi wangu hawapendi nitoke tangu mdogo hivo nimekua mtu nsie na social life

Yani maisha yang ni nyumbani, kazi za nyumbani, yani sikutani na vijana wa umri wangu kabisa.

Na ninapo fanya kazi wengi ni watu wazima na familia zao
Hivyo mara nyingi naishiwa kutongozwa na waumme za watu.

Hichi kitu kinanivunja moyo kwani natamani siku nipate mwenza na kufunga ndoa.

Ila naona umri unaenda na nimekua single kwa mda mref sana.

Nyumbani posa zilikuja kama tatu ila sipendelei kuozwa na mtu nsomjua wala nsompenda.

Naombeni msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
weka picha tukuone tukuthaminishe Kwanza!
 
Kwanza i don't play hard to get
Pili sinaga tabia ya kupiga mzinga. Labda nipigwe mim
Tatu sijabahatika coz ya lifestyle wazaz wangu wanyotaka niishi
Nne nlishawahi kua na mpenz chuo ila hakuamuaminifu, na iyo kwangu ni aspect muhim pia
Uzuri ninao
Chura ni irrelevant

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wangu ni very simple: Ondoa maringo, kujisikia na aibu, tongoza wanaume wa rika lako, unaowapenda..umepitia chuo?, if yes, huko chuo hujapata wanaume wa kukutongoza..

1) Una-play too hard to get?
2) Una tabia ya mizinga, kumuomba omba hela mwanaume baada ya kutongozwa..?
3)Umesema ww ni mrembo, kama hadi umefika miaka 25, na hujapata mwanaume handsome aliewahi kukutongoza bhasi kiuhalisia ww si mrembo kama unavojifikiria

Yote Tisa, una chura mkubwa? young_ma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sifa hizi nimeanza kuwa na mashaka na wewe mkuu..

Kama unachangamusha genge vile...

Anyway!!..

Wacha nijaribu bahati yangu...

"Enough of No Love"
 
Unatamani ungekua mwanamke kweli
Jamani nisaidieni mimi ni binti wa mikaka 25, mara nyingi nipo nyumbani tuu. Wazazi wangu hawapendi nitoke tangu mdogo hivo nimekua mtu nsie na social life

Yani maisha yang ni nyumbani, kazi za nyumbani, yani sikutani na vijana wa umri wangu kabisa.

Na ninapo fanya kazi wengi ni watu wazima na familia zao
Hivyo mara nyingi naishiwa kutongozwa na waumme za watu.

Hichi kitu kinanivunja moyo kwani natamani siku nipate mwenza na kufunga ndoa.

Ila naona umri unaenda na nimekua single kwa mda mref sana.

Nyumbani posa zilikuja kama tatu ila sipendelei kuozwa na mtu nsomjua wala nsompenda.

Naombeni msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli,
Pia sijaacha wengi ni huyo mmoja tu...
Na yeye sio kunicheat tuu
Anayo shida mingi nlizoshindwana nae
Haha sasa dada yangu ukimuacha kila mwanaume unaempenda kisa tu anaku-cheat utaacha wangapi, tafta mwanaume anaekuvutia, mwenye afadhali, mjenge maisha, huyo mwanaume asie-cheat kumpata labda Mungu aweke mkono wake lasivyo young_ma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikipata hata adi 35 sina shida ila sipati, ninakua nacontact nao ni watu wazima kutokana na nature ya kazi

Na ndio mimi ni nyumbani na kazini tu na nkichelewa rudi wazee wakalii

Na chuo nlishawahi kua na boyfriend ila alkua muhuni sana kias kwamba tulishindwana

Alitake advantage over the fact anajua m nlkua si mtu wa kutoka mara kwa mara hivo akawa na vimada wengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ongea na wazazi wako kuhusiana na hiyo hali,watakushauri zaidi na utakuwa na furaha.
 
Jamani nisaidieni mimi ni binti wa mikaka 25, mara nyingi nipo nyumbani tuu. Wazazi wangu hawapendi nitoke tangu mdogo hivo nimekua mtu nsie na social life

Yani maisha yang ni nyumbani, kazi za nyumbani, yani sikutani na vijana wa umri wangu kabisa.

Na ninapo fanya kazi wengi ni watu wazima na familia zao
Hivyo mara nyingi naishiwa kutongozwa na waumme za watu.

Hichi kitu kinanivunja moyo kwani natamani siku nipate mwenza na kufunga ndoa.

Ila naona umri unaenda na nimekua single kwa mda mref sana.

Nyumbani posa zilikuja kama tatu ila sipendelei kuozwa na mtu nsomjua wala nsompenda.

Naombeni msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa ushindwe mwenyewe niko hapa....!

Shida yako yaweza kuwa moja unatafuta wanaume si mwanaume...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani nisaidieni mimi ni binti wa mikaka 25, mara nyingi nipo nyumbani tuu. Wazazi wangu hawapendi nitoke tangu mdogo hivo nimekua mtu nsie na social life

Yani maisha yang ni nyumbani, kazi za nyumbani, yani sikutani na vijana wa umri wangu kabisa.

Na ninapo fanya kazi wengi ni watu wazima na familia zao
Hivyo mara nyingi naishiwa kutongozwa na waumme za watu.

Hichi kitu kinanivunja moyo kwani natamani siku nipate mwenza na kufunga ndoa.

Ila naona umri unaenda na nimekua single kwa mda mref sana.

Nyumbani posa zilikuja kama tatu ila sipendelei kuozwa na mtu nsomjua wala nsompenda.

Naombeni msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
Ima only 27
Yaani tunaendana kabisa
Njoo pm mwenyewe kama upo serious.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom