Designated
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 422
- 1,088
Roho mbaya tu inakusumbuaVipi hao watu wazima, na wenye familia zao wanapokutongoza unawakubalia
""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
Kivipi!?Msaada unakuja huko pm
Unacheza mchezo wa hatari sana usipoangalia utalia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nije pm bna.. Kwanini tuandikie mate
Hahahaa... Baki na familia yako... Baki njia kuu bro... Michepuko sio dili... Dada anataka wa rika lakeRoho mbaya tu inakusumbua
uzoefu wangu wa kuzaliwa tanzania, kusoma tanzania na kuishi tanzania unaonyesha vijana wengi wa rika lako(miaka 25) bado hawajafanikiwa kimaisha kiasi cha kuwa na financial confidence ya kuja kukuposa.Jamani nisaidieni mimi ni binti wa mikaka 25, mara nyingi nipo nyumbani tuu. Wazazi wangu hawapendi nitoke tangu mdogo hivo nimekua mtu nsie na social life
Yani maisha yang ni nyumbani, kazi za nyumbani, yani sikutani na vijana wa umri wangu kabisa.
Na ninapo fanya kazi wengi ni watu wazima na familia zao
Hivyo mara nyingi naishiwa kutongozwa na waumme za watu.
Hichi kitu kinanivunja moyo kwani natamani siku nipate mwenza na kufunga ndoa.
Ila naona umri unaenda na nimekua single kwa mda mref sana.
Nyumbani posa zilikuja kama tatu ila sipendelei kuozwa na mtu nsomjua wala nsompenda.
Naombeni msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya usijali mrembo, mimi nipo hapa wa rika lako kabisa. Hata kama sio kimahusiano, naweza kukupa kampani. Karibu sana
Maneno matupu hayavunji mfupa bintiiii, weka na tupicha tumoja
Siez specify, ila from 27 adi 35 naona imekaa vizur... Na sijali hali ya uwezo sana mradi upendo wa dhatiHaha tatizo la vijana wa rika lako utapata wengi ni jobless..
Wewe kwani unataka mumeo awe na umri gani?
Sent by anonymous user
Siez specify, ila from 27 adi 35 naona imekaa vizur... Na sijali hali ya uwezo sana mradi upendo wa dhati
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakufaa naomba tuyajengeSiez specify, ila from 27 adi 35 naona imekaa vizur... Na sijali hali ya uwezo sana mradi upendo wa dhati
Sent using Jamii Forums mobile app