Sipati picha speed hii Ingekuwa hapa bongo

Sipati picha speed hii Ingekuwa hapa bongo

white hat

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
3,320
Reaction score
2,488
9fb31ced158d5b1c3ad5b128da55c315.jpg
 
Watu tusingelala maana 4g tu tunaona net iko vizuri
 
  • Thanks
Reactions: MC7
mh sasa hiyo ni 4G au generation gani?
 
huja piga mahesabu sawa muvie nyingi zina 1.2GB HIZO NI ZILE ZA HIGH QUALITY NA RESOLUTION

sasa hapo NASA wamekwambia ni 91GB per sec
kwa hiyo ni ndani ya sekunde ngapi
 
kwa hiyo ni ndani ya sekunde ngapi
hapo sidhan kama sekunde itaisha

dakika ina sec 60
kila sek unapakua 91GB
Dakika utakua umepakua muvi yenye ukubwa wa

5460GB

sawa na MEGABYTES(MB)
5460000

kitanzania MB 1000(1Gb) ni swa na sh elfu moja
je MB 5460000 ITAKUA SH. NGAPI?

1000X5460000=?

hizo zote ukung'ute kwa dakika.

ndukiiiii
 
hapo sidhan kama sekunde itaisha

dakika ina sec 60
kila sek unapakua 91GB
Dakika utakua umepakua muvi yenye ukubwa wa

5460GB

sawa na MEGABYTES(MB)
5460000

kitanzania MB 1000(1Gb) ni swa na sh elfu moja
je MB 5460000 ITAKUA SH. NGAPI?

1000X5460000=?

hizo zote ukung'ute kwa dakika.

ndukiiiii
kwa hyo hata sekunde mbili haziishi
 
Back
Top Bottom