Uchaguzi 2020 Sioni sababu ya kufanya mikutano na kuwatukana wengine wakati wa kutafuta wadhamini

Mchakato wa kupata tiketi ya kugombea Urais ni kwamba unatakiwa upitishwe na chama na baada ya kupitishwa na chama unaenda kutafuta wadhamini katika mikoa ya Tanzania bara na visiwani Zanzibar.

Kilichotakiwa ni kupata wadhamini kwa wanachama wa chama chako na hii haiitaji kupiga makele mengi au kukosoa au kuwatukana wengine Bali chama kilitakiwa kiweke utaratibu wa kuwapata wadhamini bila mikutano mikubwa yenye kutumia hela nyingi utaratibu wa sasa kama tunavyoona kwa chadema ni kama kampeni sasa zimeanza maana mgombea kupitia chama hicho kila anakopita nikuiponda Serikali na hasa personal attacks kwa rais JPM. Kwenye kuhutubia wananchi anatoa vitisho na ahadi nyingi. kwangu Mimi sioni tofauti ya kusaka wadhamini na kampeni.

Tume ya uchaguzi ilitakiwa itoe ufafanunuzi wadhamini wanatafutwaje na ni kina nani hao .kwa utaratibu wa sasa naona ni kupoteza muda,kupoteza fedha, kuanza kampeni mapema nk.Next time NEC ije na utaratibu mwingine siyo huu wa sasa.
MATAGA, ni dhahiri Lissu amewashika kunako....
 
Rais wa zamani wa Union of Socialist Republics ( USSR ) Nkita Krushnev amerudia rudia mara nyingi --- Katika chaguzi zozote zile, wapiga kura sio muhimi kabisa. Watu muhimu ni wale wanaohesabu kura na wanaomtangaza mshindi kwa wanaogombea. NA HIZI NDIO TARATIBU YA CHAGUZI.
 
Mchakato wa kupata tiketi ya kugombea Urais ni kwamba unatakiwa upitishwe na chama na baada ya kupitishwa na chama unaenda kutafuta wadhamini katika mikoa ya Tanzania bara na visiwani Zanzibar.

Kilichotakiwa ni kupata wadhamini kwa wanachama wa chama chako na hii haiitaji kupiga makele mengi au kukosoa au kuwatukana wengine Bali chama kilitakiwa kiweke utaratibu wa kuwapata wadhamini bila mikutano mikubwa yenye kutumia hela nyingi utaratibu wa sasa kama tunavyoona kwa chadema ni kama kampeni sasa zimeanza maana mgombea kupitia chama hicho kila anakopita nikuiponda Serikali na hasa personal attacks kwa rais JPM. Kwenye kuhutubia wananchi anatoa vitisho na ahadi nyingi. kwangu Mimi sioni tofauti ya kusaka wadhamini na kampeni.

Tume ya uchaguzi ilitakiwa itoe ufafanunuzi wadhamini wanatafutwaje na ni kina nani hao .kwa utaratibu wa sasa naona ni kupoteza muda,kupoteza fedha, kuanza kampeni mapema nk.Next time NEC ije na utaratibu mwingine siyo huu wa sasa.
Nyinyi mmezunguka 5 good years peke yenu, media zenu then TAL kwa week 2 tu mnaanza kulia
 
Rais wa zamani wa Union of Socialist Republics ( USSR ) Nkita Krushnev amerudia rudia mara nyingi --- Katika chaguzi zozote zile, wapiga kura sio muhimi kabisa. Watu muhimu ni wale wanaohesabu kura na wanaomtangaza mshindi kwa wanaogombea. NA HIZI NDIO TARATIBU YA CHAGUZI.
Kule Urusi hakuna ujinga kama wa ccm wapo vizuri wamejipanga sawa sawa
 
Hivi ukiambiwa uorodheshe matusi unayoyajua duniani utaweza?Au kila neno uambiwalo hata kama ni ukweli kijijini kwenu walikuelekeza kwamba ni tusi?
 
Ukitaka kujua chama kimeshindwa kushindana, kila mara huja na sheria kandamizi. Huu ni baadhi ya mitazamo ya watu wenye kupenda kutunga sheria kandamizi ili kukidhi mahitaji ya muda mfupi. Jana ccm walikuwa na tamasha sijui onyesho hapa uwanja wa Taifa, ambalo nini kampeni ya wazi kabisa, lakini ikitokea na wapinzani nao wakafanya na wakapata mwitikio mkubwa, utakuja na ushauri huu kuwa kutungwe sheria kusiwe na matamasha mpaka kibali. Kwa mwenendo huu sintoshangaa ukitaka kuwe na sheria inayokataza kampeni za wazi, bali za ndani ili kuepusha nyomi.
Kwannza nani atatuhusu tamasha la upande wa pili?
 
Back
Top Bottom